28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

inatendeka kwa sababu CV ni nzuri. Naomba mzifanyie<br />

kazi.<br />

Baada ya kusema hayo, naomba nichangie<br />

mambo kama mawili au matatu. Jambo la kwanza<br />

kabisa ni kwamba, nakubaliana kabisa na msemaji<br />

aliyepita. Mambo mengi ni ya ajabu kabisa kwamba<br />

yapo lakini hayatekelezwi. Sisi Wa<strong>bunge</strong> humu ndani<br />

kama tunavyosema, kila mara tunakaa tunalalamika,<br />

lakini kwa nini tunaendelea kulalamika wakati ni sisi<br />

wenyewe ambao hayo mambo tunayajua, tunayo,<br />

lakini hatuyafikishi mwisho<br />

Kwa mfano, kama suala alilosema; mimi nilikuwa<br />

najiuliza, na nikawa nafikiri nikipata nafasi nitauliza swali<br />

kama hili, kwamba reli zetu tunajua bila kuelezwa, toka<br />

tumeanza kujifunza katika Shule za Msingi kwamba reli<br />

ndiyo chombo muhimu sana kwa ajili ya kubeba mizi<strong>go</strong><br />

na kwamba hata Wakoloni hawakuwa wajinga<br />

wakatengeneza reli kutoka kwenye vitu<br />

vinakopatikana, mfano, mazao na kadhalika, zikaenda<br />

bandarini kusudi zipeleke mizi<strong>go</strong>. Lakini sisi tulipochukua<br />

tukaanza kufanya kinyume chake. Matokeo yake tuko<br />

hapa tunalalamika. Hiyo Reli ya Kati iliyojengwa na<br />

Mjerumani ikamaliziwa na Mwingereza.<br />

Mimi nilikuwa najiuliza, baada ya Watanzania<br />

wenye nia njema na nchi hii kulalamika na kuona<br />

mambo yaliyotokea na wafanyakazi wenye uzalendo<br />

wakajitolea kwamba wangeweza kufufua vitu vingine<br />

mpaka hadi sasa hiyo reli ikarudi mikononi mwetu, lakini<br />

jamani hatujiulizi kwamba huu si ndiyo utakuwa<br />

mtindo

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!