28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini naomba<br />

tukumbuke kwamba usafiri wa treni kati ya Dar es<br />

Salaam na Ki<strong>go</strong>ma ulisitishwa karibu miezi sita kutokana<br />

na matatizo mbalimbali ikiwemo uchakavu wa<br />

miundombinu, injini za treni na athari za mvua kubwa<br />

zilizonyesha maeneo ya Kilosa, Moro<strong>go</strong>ro na Gulwe,<br />

Dodoma.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, hatua tuliyoichukua<br />

mwezi mei mwaka huu ya kurejesha treni za abiria na<br />

kuongeza treni za mizi<strong>go</strong> ni ushahidi tosha kuwa Serikali<br />

sasa imedhamiria kuupa msukumo mpya usafiri wa<br />

treni. Len<strong>go</strong> la Wizara ya Uchukuzi ni kuhakikisha kuwa,<br />

tunakuwa na treni ya abiria kila siku kutoka Dar es<br />

Salaam sio tu Ki<strong>go</strong>ma bali pia Mwanza na maeneo<br />

mengine. Tumejipanga kufikia len<strong>go</strong> la angalau treni<br />

nne kwa wiki kwenda Ki<strong>go</strong>ma na Mwanza kufikia<br />

mwezi Juni 2013.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, Bunge lako Tukufu<br />

likipitisha Bajeti yetu hii leo na Sekta ya Uchukuzi<br />

ikapata kipaumbele katika mapokezi ya pesa<br />

kutokana na muda mrefu wa kusubiri vipuri adimu<br />

yaani lead time. Aidha, tumejipanga kuongeza wingi<br />

wa mizi<strong>go</strong> itakayosafirishwa kwa treni ili kupunguza<br />

gharama za ujumla kwenye uchumi kwa kuwa<br />

usafirishaji au uchukuzi kwa njia ya reli ni wa gharama<br />

nafuu na salama kuliko njia nyingine zozote.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, ili kufikia malen<strong>go</strong> haya<br />

TRL ilianza kuvifanyia matengenezo makubwa vichwa<br />

vya treni vinne mwezi Mei, 2012 na tarehe 30 Julai, 2012

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!