Read - bunge .parliament.go. tz
Read - bunge .parliament.go. tz
Read - bunge .parliament.go. tz
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini naomba<br />
tukumbuke kwamba usafiri wa treni kati ya Dar es<br />
Salaam na Ki<strong>go</strong>ma ulisitishwa karibu miezi sita kutokana<br />
na matatizo mbalimbali ikiwemo uchakavu wa<br />
miundombinu, injini za treni na athari za mvua kubwa<br />
zilizonyesha maeneo ya Kilosa, Moro<strong>go</strong>ro na Gulwe,<br />
Dodoma.<br />
Mheshimiwa Mwenyekiti, hatua tuliyoichukua<br />
mwezi mei mwaka huu ya kurejesha treni za abiria na<br />
kuongeza treni za mizi<strong>go</strong> ni ushahidi tosha kuwa Serikali<br />
sasa imedhamiria kuupa msukumo mpya usafiri wa<br />
treni. Len<strong>go</strong> la Wizara ya Uchukuzi ni kuhakikisha kuwa,<br />
tunakuwa na treni ya abiria kila siku kutoka Dar es<br />
Salaam sio tu Ki<strong>go</strong>ma bali pia Mwanza na maeneo<br />
mengine. Tumejipanga kufikia len<strong>go</strong> la angalau treni<br />
nne kwa wiki kwenda Ki<strong>go</strong>ma na Mwanza kufikia<br />
mwezi Juni 2013.<br />
Mheshimiwa Mwenyekiti, Bunge lako Tukufu<br />
likipitisha Bajeti yetu hii leo na Sekta ya Uchukuzi<br />
ikapata kipaumbele katika mapokezi ya pesa<br />
kutokana na muda mrefu wa kusubiri vipuri adimu<br />
yaani lead time. Aidha, tumejipanga kuongeza wingi<br />
wa mizi<strong>go</strong> itakayosafirishwa kwa treni ili kupunguza<br />
gharama za ujumla kwenye uchumi kwa kuwa<br />
usafirishaji au uchukuzi kwa njia ya reli ni wa gharama<br />
nafuu na salama kuliko njia nyingine zozote.<br />
Mheshimiwa Mwenyekiti, ili kufikia malen<strong>go</strong> haya<br />
TRL ilianza kuvifanyia matengenezo makubwa vichwa<br />
vya treni vinne mwezi Mei, 2012 na tarehe 30 Julai, 2012