28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

kubwa unabandua tena na kuifanya upya, lakini<br />

wakati huohuo sekta zingine nazo zinahitaji fedha.<br />

Sasa kama tutakuwa hatuna msimamo mzuri wa<br />

kuzitengeneza hizi reli zetu na kuzifanya kuwa za kisasa,<br />

tutakuwa tunatwanga maji kwenye kinu na matokeo<br />

yake itakuwa ni kila siku tunalalamika kwamba hali ya<br />

uchumi ni mbaya, hali ya maisha nchini Tanzania<br />

inazidi kushuka na wananchi wetu hawataisamehe<br />

Serikali yetu kwa sababu hiyo, kwa sababu vitu vya<br />

msingi ambavyo ni vya muhimu katika maisha ya kila<br />

siku vinawafikia vikiwa viko katika bei ya juu kwa<br />

sababu vinasafirishwa kwa magari ambayo yanatumia<br />

mafuta ambayo mafuta yenyewe katika soko la dunia<br />

yako bei juu.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, niishauri sana Wizara yetu<br />

ya Uchukuzi ambayo inaon<strong>go</strong>zwa na Dkt. Harrison<br />

Mwakyembe akisaidiwa na Dkt. Charles Tizeba<br />

waliangalie suala hili kwa umakini mkubwa na waige<br />

mtindo uleule aliokuwa anafanyia kazi katika Wizara ya<br />

Ujenzi ambako kuna mkakati wa kuziunganisha<br />

barabara za lami kwa Mikoa yote ya Tanzania. Sasa<br />

mkakati huohuo uwepo wa kuhakikisha kwamba reli<br />

zinafika katika kila Mkoa katika Taifa hili la Tanzania.<br />

Hapo peke yake ndipo tutakapokuwa tumefikia hatua<br />

ambayo itakuwa ni ukombozi kwa Taifa hili la Tanzania<br />

vinginevyo tutakuwa tunajidanganya kusema kwamba<br />

tunaunganisha Tanzania hii kwa barabara zote za lami<br />

lakini wakati huohuo tunaua Shirika letu la Reli.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, mwisho wa reli ni<br />

mwanzo wa meli, pale reli inapoishia inatakiwa<br />

iunganishiwe meli. Mtindo ni huohuo kwa maana ya

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!