28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

kubwa, ipanuliwe, vitendea kazi vingine kama<br />

zimamoto na kadhalika viwekwe vinavyofanana na<br />

hali ya sasa, lakini pia kuwe na taa zitakazoruhusu<br />

kutua kwa ndege hata usiku kwenye uwanja ule.<br />

(Makofi)<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, uwanja huo tangu<br />

mwaka 2010, umekuwa ukifanyiwa ukarabati, lakini<br />

umefanyiwa ukarabati duni mno, yaani sub-standard<br />

kabisa. Ningeshauri, na kwa sababu namfahamu Dkt.<br />

Mwakyembe he is very serious, hebu aangalie pale, ile<br />

inatia aibu. Ukarabati gani ule umefanywa Substandard<br />

kabisa na tuupokee! Sitafurahishwa na wala<br />

sipendezwi na ukarabati uliofanywa pale ni wa<br />

kiwan<strong>go</strong> cha chini na duni mno. Hebu angalieni upya<br />

Serikali.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, liko tatizo. Mheshimiwa<br />

Murji jana alipokuwa anachangia, alilitaja kido<strong>go</strong><br />

kuhusu usiri wa Mamlaka ya Bandari. Mamlaka ya<br />

Bandari imekuwa na usiri mwingi kweli kwenye mambo<br />

ya uwekezaji yanayohusiana na Bandari ya Mtwara na<br />

wanatuletea adha sana kwa wananchi kujibu maswali<br />

ambayo yalikuwa siyo ya lazima. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, leo tunaambiwa, kule<br />

Bandari imeuzwa, wanafanya vikao. Nilipata barua<br />

hapa, kikao cha mwisho walichofanya, nilipata barua<br />

siku hiyo hiyo na huko ningeendaje Lakini nafikiri<br />

ilifanywa kwa makusudi ili Wa<strong>bunge</strong> wasijue<br />

kinachoendelea. Hivi kuna tatizo gani la kuwa wazi<br />

Haya mambo si ya Umma Haya mambo si kwa<br />

manufaa ya Watanzania Usiri siri ni wa nini Ili iweje<br />

Mheshimiwa Mwakyembe na Ndugu yangu

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!