28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

tumeshaipangia bajeti kwenye mwaka wa fedha<br />

utakaofuata.<br />

SPIKA: Mheshimiwa nani sasa hapa! Aah, ndiyo<br />

Kafulila, watu wa Ki<strong>go</strong>ma ni wado<strong>go</strong>wado<strong>go</strong> na tena<br />

wanafanana. (Kicheko)<br />

MHE. DAVID Z. KAFULILA: Mheshimiwa Spika,<br />

ahsante. Pamoja na kumshukuru Waziri na Naibu Waziri<br />

kwa kuhakikisha miradi ya barabara kule Ki<strong>go</strong>ma Kusini<br />

inakwenda vizuri, napenda kuuliza swali moja la<br />

nyongeza. Mwaka jana mwezi wa Tano wakati Rais<br />

akiwa na Balozi wa Abu Dhabi kwenye ziara katika<br />

Jimbo la Ki<strong>go</strong>ma Kusini, yeye pamoja na Balozi<br />

walikubaliana ijengwe barabara ya kilomita 48<br />

ambayo itaunganisha mradi wa Daraja la Malagarasi<br />

kuja mpaka Uvinza. Napenda kujua status ya Serikali<br />

katika kutekeleza jambo hili imefikia wapi<br />

NAIBU WAZIRI WA UJENZI: Mheshimiwa Spika,<br />

naomba swali hilo liletwe upya kwa sababu ni jipya<br />

sina jibu la kutoa kwa sasa hivi.<br />

SPIKA: Tena kubwa kabisa! Mheshimiwa Shekifu!<br />

MHE. HENRY D. SHEKIFU: Mheshimiwa Spika,<br />

nashukuru kwa kunipa nafasi hii. Nina swali moja la<br />

nyongeza. Tatizo la kuchelewesha mradi mpaka<br />

wananchi wanafika mahali pa kukata tamaa ni la<br />

kisera na inaonekana kwa kweli linagusa maeneo<br />

mengi. Iko barabara ya kutoka Lushoto kilomita 10 tu<br />

ilianza kujengwa kwa kiwan<strong>go</strong> cha lami mwaka 2004<br />

mpaka sasa ninavyozungumza zimejengwa kilomita

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!