Read - bunge .parliament.go. tz
Read - bunge .parliament.go. tz
Read - bunge .parliament.go. tz
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
ya watu kuokolewa. Kwa kuwa ilizama almost saa kumi<br />
na moja za alfajiri lakini hakuna diver, hakuna<br />
chochote, hakuna uokozi.<br />
Mheshimiwa Mwenyekiti, nasikitika kusema<br />
maneno haya lakini ni jambo la msingi kwa sababu<br />
Bunge liliniruhusu niende Zanzibar, meli imezama, Polisi<br />
wanaleta boti mbili za fiber ambazo ni nzuri kwa<br />
kuokolea, ziko chini hazina mafuta, zimekaa pale<br />
almost two hours, mtu mmoja akasaidia lita 200.<br />
Naiomba Wizara hii kwa sababu bandari ni muungano,<br />
watuambie maendeleo ya muungano waliyofanya<br />
kwa bandari ya Zanzibar na expert yote iliyofanywa ni<br />
ya upande mmoja lakini ninapenda kusema kuwa<br />
Serikali ya CCM inahitaji kuondolewa na kichukue<br />
chama kingine lakini ni chama gani chenye uwezo wa<br />
kuion<strong>go</strong>za Serikali ya Tanzania Ninawaomba<br />
wananchi na Wa<strong>bunge</strong> wenzangu wakubali kuwa ni<br />
CUF. Kwa sababu gani Tuko wa kweli na tumekuwa<br />
wawazi na uon<strong>go</strong>zi wake unafahamika.<br />
(Makofi/Kicheko)<br />
Mheshimiwa Mwenyekiti, ninaomba sana Waziri<br />
akija hapa atueleze Sera ya Uchaguzi ya CCM<br />
inasemaje juu ya mambo haya ambayo<br />
nimeyazungumzia. Kwa sababu sipendi nipigiwe<br />
kengele mtu mzima, ninakushukuru sana. (Makofi)<br />
MWENYEKITI: Ninakushukuru sana Mheshimiwa Haji<br />
Kombo, ungesema tu kuwa una maslahi binafsi kwenye<br />
chama cha CUF kwa mujibu wa Kanuni kama M<strong>bunge</strong><br />
wa CUF. Nitamwita Mheshimiwa Mhonga, atafuatiwa