28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

ya watu kuokolewa. Kwa kuwa ilizama almost saa kumi<br />

na moja za alfajiri lakini hakuna diver, hakuna<br />

chochote, hakuna uokozi.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, nasikitika kusema<br />

maneno haya lakini ni jambo la msingi kwa sababu<br />

Bunge liliniruhusu niende Zanzibar, meli imezama, Polisi<br />

wanaleta boti mbili za fiber ambazo ni nzuri kwa<br />

kuokolea, ziko chini hazina mafuta, zimekaa pale<br />

almost two hours, mtu mmoja akasaidia lita 200.<br />

Naiomba Wizara hii kwa sababu bandari ni muungano,<br />

watuambie maendeleo ya muungano waliyofanya<br />

kwa bandari ya Zanzibar na expert yote iliyofanywa ni<br />

ya upande mmoja lakini ninapenda kusema kuwa<br />

Serikali ya CCM inahitaji kuondolewa na kichukue<br />

chama kingine lakini ni chama gani chenye uwezo wa<br />

kuion<strong>go</strong>za Serikali ya Tanzania Ninawaomba<br />

wananchi na Wa<strong>bunge</strong> wenzangu wakubali kuwa ni<br />

CUF. Kwa sababu gani Tuko wa kweli na tumekuwa<br />

wawazi na uon<strong>go</strong>zi wake unafahamika.<br />

(Makofi/Kicheko)<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, ninaomba sana Waziri<br />

akija hapa atueleze Sera ya Uchaguzi ya CCM<br />

inasemaje juu ya mambo haya ambayo<br />

nimeyazungumzia. Kwa sababu sipendi nipigiwe<br />

kengele mtu mzima, ninakushukuru sana. (Makofi)<br />

MWENYEKITI: Ninakushukuru sana Mheshimiwa Haji<br />

Kombo, ungesema tu kuwa una maslahi binafsi kwenye<br />

chama cha CUF kwa mujibu wa Kanuni kama M<strong>bunge</strong><br />

wa CUF. Nitamwita Mheshimiwa Mhonga, atafuatiwa

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!