28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

mnakumbuka baadhi yenu mlisoma magazeti<br />

nilikizindua kichwa kimoja na vingine vitatu vitakamilika<br />

kabla ya Oktoba, 2012. Len<strong>go</strong> ni kivifanyia<br />

matengenezo na kuvijenga upya, vichwa 23 vya treni<br />

na uwezo huo tayari umeoneshwa na wafanyakazi wa<br />

TRL.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, ndiyo maana<br />

nimeuagiza uon<strong>go</strong>zi wa TRL uangalie uwezekano wa<br />

kupunguza idadi au kuachana kabisa na mpan<strong>go</strong> wa<br />

kukodisha vichwa vya treni kutoka nje ya nchi kwa<br />

gharama kubwa na badala yake fedha hiyo tuitumie<br />

kwa ajili ya ukarabati wa vichwa vyote vinavyoweza<br />

kutengenezeka. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, hii ina maana kuwa<br />

uwezo wa kusafirisha mizi<strong>go</strong> utatoka ulipo sasa wa<br />

wastani wa tani 250,000 tu kwa kutumia vichwa kumi<br />

tulivyonavyo kwa mwaka hadi kufikia tani 575,000 kwa<br />

kutumia vichwa 23. Aidha, Serikali kupitia TRL ina<br />

mpan<strong>go</strong> wa kununua vichwa vipya vya treni 13 kufikia<br />

mwishoni mwa mwaka 2014. Vichwa hivi vitaongeza<br />

uwezo wa TRL kubeba mzi<strong>go</strong> kufikia tani 850,000 kwa<br />

mwaka.<br />

Mheshimiwa Mwenyekiti, kama nilivyosema awali<br />

ni kwamba, kumekuwepo na juhudi kubwa za kutafuta<br />

ufumbuzi wa kudumu wa kuharibiwa kwa reli katika<br />

maeneo ya Kilosa hadi Gulwe. Kazi iliyofanyika ni<br />

kubwa sana hata kwa kuiangalia kwa macho. Lakini<br />

kumekuwa kuna malalamiko kutoka kwa baadhi ya<br />

Waheshimiwa Wa<strong>bunge</strong> hapa kwa maandishi na<br />

wengine hata tukikutana nao kuhusu utumiaji wa force

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!