28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

swali la msingi nikielezea kwamba pamoja na uwepo<br />

wa mafunzo haya ya Stashahada na Shahada kwa<br />

taaluma hii Ustawi wa Jamii, sasa Serikali imeanza<br />

kuandaa na mafunzo haya yameanza mwaka huu ya<br />

wale Social Welfare Assistants yaani Wasaidizi Maafisa<br />

Ustawi wa Jamii katika Chuo hicho ambacho<br />

nimekisema kipo Kilimanjaro. Kwa hiyo, naamini<br />

mafundisho haya yanaweza yakatusaidia tukapata<br />

wengi ambao wanaweza wakafanya kazi hata katika<br />

ngazi zile za chini.<br />

MHE. EUGEN E. MWAIPOSA: Mheshimiwa Spika,<br />

nakushukuru kupata nafasi. Kwa kuwa Serikali imekiri<br />

katika swali la msingi kwamba changamoto ya<br />

kupanda kwa maisha ni sababu tosha ya kuwafanya<br />

wananchi wake kuwa na mson<strong>go</strong> wa mawazo; na<br />

kwa kuwa, njia sahihi ya kuweza kutatua tatizo hili ni<br />

kupunguza gharama za maisha kuliko kuzalisha<br />

wataalam ambao watakwenda kutatua tatizo hilo. Je,<br />

Serikali ina mpan<strong>go</strong> gani wa kuhakikisha kwamba<br />

gharama ya maisha ya wananchi wake zinapungua<br />

au zinakuwa chini ili wananchi wake waepukane na<br />

tatizo hili la mson<strong>go</strong> wa mawazo (Makofi)<br />

NAIBU WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII:<br />

Mheshimiwa Spika, ni kweli moja katika sababu za<br />

kupata mgandamizo yaani stress ni kupanda kwa<br />

gharama za maisha lakini kupanda kwa gharama za<br />

maisha ni moja tu katika zile sababu ambazo zinatokea<br />

na siyo lazima kwa kila mtu ambaye anakabiliana na<br />

gharama au changamoto za kupanda kwa gharama<br />

za maisha anaweza akapata stress. Kuna wengine<br />

ambao wanamudu na wanaweza kukabiliana na kuishi

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!