28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

capitation inatumwa kwenye Halmashauri kwa idadi<br />

ya wanafunzi waliopo kwenye Halmashauri husika na<br />

hiyo ndiyo inapelekea kutofautiana kutoka<br />

Halmashauri moja mpaka nyingine.<br />

SPIKA: Tumekuwa na maswali zaidi ya manne<br />

katika swali hili kwa hiyo tunaendelea na swali<br />

linalofuata nalo litaulizwa na Mhonga Said Ruhwanya.<br />

Na. 311<br />

Serikali Kushindwa Kuwalipa Walimu Wapya<br />

MHE. MHONGA S. RUHWANYA aliuliza:-<br />

Hivi karibuni Serikali iliwapangia vituo vya kazi<br />

Walimu katika maeneo mengi nchini, lakini imeshindwa<br />

kuwalipa malipo yao hali iliyosababisha maandamano<br />

na malalamikio mengi:-<br />

(a) Je, kwa nini Serikali iliwapangia kazi Walimu<br />

hao bila kuandaa malipo yao hali iliyosababisha<br />

wakate tamaa na kukimbia kwenye vituo vya kazi<br />

(b) Je, Serikali inatatuaje tatizo hili la uhaba wa<br />

Walimu ikiwa hata wale wachache wanaopatikana<br />

imeshindwa kuwalipa stahili zao<br />

NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, TAWALA ZA<br />

MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (ELIMU) alijibu:<br />

Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziri Mkuu, naomba<br />

kujibu swali la Mheshimiwa Mhonga Said Ruhwanya,

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!