17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

“Naapa kwa siku ya kiyama tena naapa kwa nafsi<br />

inayojilaumu. (Kuwa imefufuliwa na mtalipwa)”<br />

Sifa za Nafsi Lawwaama:<br />

Kujilaumu laumu.<br />

Fikra.<br />

Kujizuia (Qabdh).<br />

Ujubi<br />

Lalamika lalamika<br />

Asili ya kuwa na sifa hizo ni kwamba ni kutaka kujiondosha<br />

kabisa katika Nafsi Ammaara kwa vitendo vyake vyenye kwenda<br />

kinyume na maamrisho ya Mnyezi Mungu.<br />

Nafsi Mul-hama.<br />

Ya tatu:<br />

Nafsi zote takribani zimetajwa hakika zake mwenye Qur an. Hii<br />

imetajwa ndani ya:- Suratish-shams. 91:7-8-9-10.<br />

“Na kwa nafsi (roho na aliyeitengeneza kisha<br />

akaifahamisha uovu wake na wema wake. Bila<br />

shaka amefaulu aliyeitakasa ( Nafsi yake) na<br />

bila shaka amejihasiri alieiviza (Nafsi yake)”.<br />

3.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!