17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

DIBAJI:<br />

Bismillahir Rahmanir Raheem.<br />

Baada ya kumshukuru Mwenyezi Mungu Mola wa ulimwengu,<br />

Mfalme wa siku ya malipo yeye peke yake ndiye anayesitahiki kuabudiwa<br />

na hakuzaa wala hakuzaliwa.<br />

Anasema Mwenyezi Mungu katika Kurani Takatifu Surat<br />

Yusuf Aya ya 53:<br />

“….Nami sitakasi Nafsi yangu, kwa hakika kila<br />

Nafsi ni yenye kuamrisha sana maovu isipokuwa<br />

ile ambayo Mola wangu ameirehemu”.<br />

Maneno haya ya katika Kurani Takatifu aliyoyaelezea kumueleza<br />

Mtume Muhammad (SAW) yanamhusu Mtume Yusuf Bin Yakuwb (AS)<br />

alipokua anajitetea kuwa hakumtaka mke wa Mfalme wa Misri.<br />

Anamhakikishia kuwa “Nafsi ni yenye kutuamrisha sana maovu”<br />

isipokuwa iliyorehemewa na yeye Mola. Na hii iliyorehemewa na Mola<br />

ndiyo Nafsi ambayo yenye muelekeo mzuri yenye kumtii Mwenyezi<br />

Mungu na kumuabudu na ndiyo inayoitwa “<strong>Al</strong> Mutmainna” aliyoitaja<br />

Mwenyezi Mungu katika Kurani Takatifu Surat <strong>Al</strong>fajr:<br />

Ewe Nafsi iliyotulia rejeya kwa Mola wako<br />

hali ya kuwa utaridhika (kwa utakayoyapata)<br />

na Mwenyezi Mungu aridhike na wewe, basi<br />

iv.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!