17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Basi kidogo hiyo ni yenye kutosha kabisa. Pengine ingekuwa ni<br />

Rehma mbili katika zile mia ndo ziloshushwa ungesema watu<br />

wangeshindwa kufanza mambo mengine yoyote bali wangekuwa<br />

wanarehemeana tu. Wapo watu wengine wanafikia kuikanusha kisirisiri<br />

au kipumbavu kiuchache wa ilmu. Aya hiyo: 17:85 wao wakidai kua<br />

hamna anaejua mambo ya roho illa Mnyezi Mungu .<br />

Mnyezi Mungu anaijua mno hiyo Roho; anasema kua ametupa ujuzi<br />

nayo lakini ni kuduchu. Si busara kuchukua kidogo ya Mnyezi Mungu<br />

ukaifanza kua ndo hiyo hiyo kwako wewe Mwanadamu, na huku ukidai<br />

kuamini kua: –<br />

“Hana anayefanana naye hata mmoja”.<br />

Kuna hatari ya kufikia kujichukua wewe kama <strong>Al</strong>im-Sameeun<br />

(Unaesikia ) Basweerun (Unaeona) na kadhalika, kua ndo hiyo hiyo ya<br />

Mnyezi Mungu (Mnyezi Mungu apishilie mbali fikra kama hizo kwetu).<br />

Mnyezi Mungu anamuona na kumsikia sisimizi michang’ato yake<br />

chini ya ardhi ndani ya giza la usiku, Je Shekhe, wewe wasikia hivo hivo?<br />

Mnyezi Mungu anayajua ya siri na yalofichika ndani ya siri katika vifua<br />

vya watu. Jee na wewe Sheikh ni hivo hivo? Basi Staghfiru kwa Mola<br />

wako na ukithirishe Kalima ya Tawheedi usije ukahiliki kwa kujifanya<br />

kichwa Mchungu. Uislamu unataka unyenyekevu (Sub-Mission).<br />

Na isisahaulike kua Bwana Mtume SAW amekataza malumbano na<br />

kwamba mwenye kuacha kulumbana (kubishana na hali ya kua yeye ndio<br />

mwenye haki basi (malipo yake) siku ya kiama Mnyezi Mungu<br />

atamjengea Nyumba ya Dhahabu). Na ikiwa kwa waliopewa Chuo (Ahlil-<br />

Kitab) Basi malumbano yawe “Bil-lati Hiya Ahsan” kwa njia ya wema<br />

sana. Kwa nini?; kwa sababu ni mara chache tunakumbuka kua mtu<br />

anapopinga jambo hua na maana ya kufru. Kwa hiyo basi huenda mtu<br />

akawa na Sijda yake usoni lakini ni Kafiri.<br />

10.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!