17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Nafsi Mardhiyya.<br />

ya sita:<br />

Nafsi hii imetajwa mara tu baada ya Nafsi Radhiya yaani ilo ridhiwa<br />

na Mola Sub-hana wa Taalah. Amma mtu akisha ridhiwa na Mnyezi<br />

Mungu basi hua hana haja ya kuogopa chochote tena.<br />

Sifa zake:<br />

Husnul khuluq – Tabia njema<br />

Lutf kwa viumbe.<br />

Taqarrab ila Llah – Kuacha yote yasiokuwa ya Mnyezi Mungu.<br />

Tafakkur - Katika utukufu na ukubwa wake Mola.<br />

Kuridhika na alokugawia Mnyezi Mungu Sub-hana wataala.<br />

Nafsi hiyo inatakiwa kurudi kwa Mola wake Radhiyya.<br />

Hali ya kuwa Mardhiyya hivyo basi, inatakiwa iingie katika kundi la waja<br />

wake Mnyezi Mungu.<br />

Waja wote ni wa Mnyezi Mungu lakini wapo ambao ni speshel.<br />

Amma katika walioukubali uja hakuna kama Bwana Mtume <strong>Al</strong>ayhi<br />

Afdhalu Swalaat Was-salaam.<br />

Mtume Muhammad S.A.W Ni mja wake na mjumbe wake. Mitume<br />

wengine wote wanamfwatia Nabii Muhammad .S. A W. kama Sayyidna<br />

Issa AS. ametajwa pia kama Abduhu warasuluhu lakini wamepitana<br />

kwa daraja na fadhila. Na pamoja na hayo yote pia Mtume SAW anasema<br />

ya kuwa…..“Hajifakharishi- Katika kuwa kwake Bwana wa watoto<br />

wote wa (Nabii Adam A.S.W).”<br />

Nafsi Kaamila.<br />

Ya saba:<br />

Pengine huitwa Nafsi Swafiyya, yaani iliyokuwa safi<br />

6.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!