17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Jambo lingine la kuzingatia, ni aina ya chakula. Ni vyema<br />

kuepukana na vyakula vyote vyenye kutia nyege. (Ashki ya<br />

kufanya tendo la ndoa) na ikiwezekana ni bora mtu ajiepushe na<br />

vyakula vinavyotokana na Roho.<br />

3. Tuondoe woga kwa viumbe: Mtu na ajaribu kutoka usiku mpevu<br />

nje ya mji na alale popote bila ya kuogopa kuwa linaweza<br />

kutokea jambo dhidi yake.<br />

4. Mtu na aendelee kumtaja Mnyezi Mungu mara kwa mara. Na<br />

amkimbize Sheytwani Ibilisi kwa kutamka Kalimat Tawheed.<br />

Na pale anapoitamka Kalimat hiyo ni budi itoke ndani ya Roho.<br />

Kwa hakika ya mambo ya Kiroho hupatikana kwa kuyafanya<br />

Kiroho hayo mambo yenyewe.<br />

5. Mtu na aangalie Wakati. Hasa kati ya majira ya saa kumi na saa<br />

kumi na moja za <strong>Al</strong> fajir. Basi, atakuta kuna Wakati umesimama<br />

hauendi kama nyakati nyingine. Si vingine juu ya hakika ya<br />

jambo hilo, isipokuwa Mnyezi Mungu SWT anadhihiri katika<br />

wingu na Dunia akinadi : Je! Nani mwenye haja zake ili<br />

nimkidhie?, Nani mwenye haja ya kufutiwa Dhambi zake<br />

Nimfutie? Nani mwenye kutaka Pepo yangu Nimpatie?”.<br />

Wengi ya watu wanakuwa wamelala katika wakati huo. Basi<br />

kama wewe umefanikiwa juu ya jambo hilo ukawa hadhiri, basi<br />

nyanyuka na utarakai – Rakaa mbili za wakati huo ni bora<br />

kuliko Dunia na vilivyomo.<br />

6. Jitahidi kujiweka katika hali ya kati ya kuwa macho na kua<br />

katika Usingizi. Na ni katika hali hiyo ambapo unaweza<br />

kufungukiwa na mambo mengi – kwani ukifanikiwa jambo hilo<br />

utakuwa ukimiliki Coscious Mind na Sub–Conscious Mind. Na<br />

moja kati ya mambo yaliyo muhimu kabisa katika ku-develop ili<br />

uweze kujigawa.<br />

7. Shart lingine kubwa kabisa ni kumwogopa Mnyezi Mungu<br />

Kikweli kweli. Ndipo ambapo yeye Mnyezi Mungu atakiogopesha<br />

kila kiumbe dhidi yako. Na ndio maana ikapendelewa mtu afanye<br />

Haluwa zake nje ya mji.<br />

30.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!