17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Amma Habib Ahmed ndani ya Kitabu chake. “ kawkabur zaahir”,<br />

anasema.:- “ Nafsi ni kama smaku”. Chunguza smaku utaona inayo<br />

pande mbili. Upande wa kuvutia, upande wa kufukuzia. Ule wa kwanza<br />

ndiyo wenye kukufanza ukamili katika maovu na ule wakuzuia ndiyo<br />

unaokukataza kufanya maovu.<br />

Qur an 79.40-41<br />

“ Na amma yule anechelea kusimamishwa mbele ya<br />

Mola wake akaizuia nafsi yake na matamanio<br />

basi pepo ndio mashukio yake”<br />

Suala la kujizuia ni muhimu mno na ni Jihadi ya kila mmoja, kwa<br />

hiyo siyo mambo ya Sheytwani bali “Wewe binafsi yako”.<br />

Na kila unapoanza amali njema inakuwa inatakata sehemu kwa sehemu<br />

mpaka inang’aa kama Nuru, na hapo ndipo unapohesabika kua mtu<br />

kamili. Amma sivyo, basi wewe ni kama wanyama wengine wowote<br />

(mammals).<br />

Mnyezi Mungu atuwafikishe katika kheri.<br />

8.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!