You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Amma Habib Ahmed ndani ya Kitabu chake. “ kawkabur zaahir”,<br />
anasema.:- “ Nafsi ni kama smaku”. Chunguza smaku utaona inayo<br />
pande mbili. Upande wa kuvutia, upande wa kufukuzia. Ule wa kwanza<br />
ndiyo wenye kukufanza ukamili katika maovu na ule wakuzuia ndiyo<br />
unaokukataza kufanya maovu.<br />
Qur an 79.40-41<br />
“ Na amma yule anechelea kusimamishwa mbele ya<br />
Mola wake akaizuia nafsi yake na matamanio<br />
basi pepo ndio mashukio yake”<br />
Suala la kujizuia ni muhimu mno na ni Jihadi ya kila mmoja, kwa<br />
hiyo siyo mambo ya Sheytwani bali “Wewe binafsi yako”.<br />
Na kila unapoanza amali njema inakuwa inatakata sehemu kwa sehemu<br />
mpaka inang’aa kama Nuru, na hapo ndipo unapohesabika kua mtu<br />
kamili. Amma sivyo, basi wewe ni kama wanyama wengine wowote<br />
(mammals).<br />
Mnyezi Mungu atuwafikishe katika kheri.<br />
8.