17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Kua na tamaa: Zingatia ule usemi “Tamaa mbele mauti nyuma”.<br />

Kinyume chake ni kinaa na kule kukinai ni utajiri mkubwa, anasema<br />

Mtume wa Mnyezi Mungu.<br />

Kuwa na kiburi: (Mola atuepushe nacho) Dhiddi ni kujitupa chini<br />

kua Mnyenyekevu.<br />

Hata ikibidi kufanza aina ya shughuli ambazo lau atakuona yeyote<br />

yule basi hatakosa kupata hisia kama za kudharauliwa. Hiyo ina kheyri<br />

zaidi kuliko kutukuzwa ukapata kiburi.<br />

Matamanio: Lau huanguka kwa kufunga Swawmu tu. Lakini ziada<br />

ni katika kuyakumbuka mno Mauti. Bwana Mtume SAW alieleza<br />

kua katika kuyakumbuka mauti imma itamfanza mtu apungunze<br />

maasi au atazidisha Ibada.<br />

Mfano utabiri wa Pope mwaka 1959 kua 1960 ingekua mwisho<br />

wa Dunia, wa Moshi Kilimanjaro walibakia Makanisani kuanzia Krismas<br />

mpaka January, ni wenye kutosha kuthibitisha ukweli wa kuyakumbuka<br />

mauti ni waadhi kamili, na ambae hawaidhiki kwa mauti, basi huyo hana<br />

waadhi.<br />

Hasad: Amma kuhusu Hasad ambayo Bw. Mtume SAW amesema:<br />

“Ni ugonjwa usio na Dawa”. Illa kuacha tu kule kuhusudu, mtu wa<br />

akili anatakiwa kuyazingatia sana maanani huenda akanusurika.<br />

Maisha ya hapa Duniani yamejaa majaribu, kwa hiyo mtu mwenye<br />

akili nae anatakiwa afanze majaribio kwa kila jema alolijua. Akili haina<br />

njia ya kuzidi kama katika mtu kua na ungi wa Tajiriba (Frequent<br />

Experimentation Culculation and So on and so Forth) katika<br />

majaribu makubwa tulonayo hasa katika zama zetu hizi hakuna kama<br />

“Wanawake”. Bwana Mtume SAW akisema :-<br />

14.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!