Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Kua na tamaa: Zingatia ule usemi “Tamaa mbele mauti nyuma”.<br />
Kinyume chake ni kinaa na kule kukinai ni utajiri mkubwa, anasema<br />
Mtume wa Mnyezi Mungu.<br />
Kuwa na kiburi: (Mola atuepushe nacho) Dhiddi ni kujitupa chini<br />
kua Mnyenyekevu.<br />
Hata ikibidi kufanza aina ya shughuli ambazo lau atakuona yeyote<br />
yule basi hatakosa kupata hisia kama za kudharauliwa. Hiyo ina kheyri<br />
zaidi kuliko kutukuzwa ukapata kiburi.<br />
Matamanio: Lau huanguka kwa kufunga Swawmu tu. Lakini ziada<br />
ni katika kuyakumbuka mno Mauti. Bwana Mtume SAW alieleza<br />
kua katika kuyakumbuka mauti imma itamfanza mtu apungunze<br />
maasi au atazidisha Ibada.<br />
Mfano utabiri wa Pope mwaka 1959 kua 1960 ingekua mwisho<br />
wa Dunia, wa Moshi Kilimanjaro walibakia Makanisani kuanzia Krismas<br />
mpaka January, ni wenye kutosha kuthibitisha ukweli wa kuyakumbuka<br />
mauti ni waadhi kamili, na ambae hawaidhiki kwa mauti, basi huyo hana<br />
waadhi.<br />
Hasad: Amma kuhusu Hasad ambayo Bw. Mtume SAW amesema:<br />
“Ni ugonjwa usio na Dawa”. Illa kuacha tu kule kuhusudu, mtu wa<br />
akili anatakiwa kuyazingatia sana maanani huenda akanusurika.<br />
Maisha ya hapa Duniani yamejaa majaribu, kwa hiyo mtu mwenye<br />
akili nae anatakiwa afanze majaribio kwa kila jema alolijua. Akili haina<br />
njia ya kuzidi kama katika mtu kua na ungi wa Tajiriba (Frequent<br />
Experimentation Culculation and So on and so Forth) katika<br />
majaribu makubwa tulonayo hasa katika zama zetu hizi hakuna kama<br />
“Wanawake”. Bwana Mtume SAW akisema :-<br />
14.