17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Amma ilaaka kati yake na Moyo uloachwa Hospitalini ni yenye<br />

kujulikana na Mnyezi Mungu peke yake, kwani Moyo wa<br />

Hospitali unaweza ukaoza kwa vile asili yake ni udongo uliodhihiri<br />

kama nyama. Lakini moyo wa Nuru ni wa swifa za juu ambao<br />

umekusudiwa maisha ya milele na si wenye Kufa hata siku moja.<br />

Ajabu kubwa jinsi unavyoshirikiana na Akili na Ubongo katika matenda<br />

kazi zake ndani ya maisha yetu ya kila siku!!.<br />

Mambo kama haya ndo anotakiwa mtu, na hasa vijana<br />

wajishughulishe nayo ili kujiandaa kupokea matukufu toka kwa Mnyezi<br />

Mungu, alotukuka.<br />

Vijana ndo wenye nafasi nzuri ya kukaribishwa chini ya kivuli cha<br />

Mnyezi Mungu siku ambayo hapatakuwepo kivuli illa hicho ikiwa<br />

watapondokea katika kumtii Mnyezi Mungu tu peke yake wakaacha balaa<br />

na ghasia chungu nzima zilizowazingira maishani mwao.<br />

Inshallah baada ya kujua moyo huo wenye asrari zisoidadi,<br />

huenda mambo yetu yakawa na mwelekeo wa mabadiliko mazuri.<br />

Wafaqanal Lahu lima yuhibbu wa yardha.<br />

27.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!