17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Abadan.<br />

Nafsi kila siku inataka makuu na kutambuliwa na wewe<br />

kua inayo haki kwako, ni kama vitimbi vya mtoto mdogo<br />

nyumbani kwao na hasa wanapokuwepo wageni. Na kama<br />

ilivyo maalumu nafsi ukiitukuza ni lazima mwisho wake<br />

itakuliza, kwani daima haikutizamii maslahi kwako<br />

Nafsi ilokusudiwa hapa si ingine bali ile <strong>Al</strong> ammara.<br />

Mnyezi Mungu ameelezea kua daima ni yenye kuamrisha<br />

maovu tu haibadiliki hata siku<br />

moja. Kwa kifupi mwenye Akili lazima awe na mifano<br />

iliyotajwa kwenye swifa kumi hizo. Na si rahisi kwa<br />

asiekuwa nazo kudai kua na Akili.<br />

Tunamuomba Mnyezi Mungu mjuzi wa kila jambo atufungulie<br />

Tafhuma katika kuielewa na kuitumia vyema Akili jambo ambalo Mola<br />

Sub-hanalaah amelisema kua ni azizi. Kwani hakuna baada Nuru ya<br />

Bwana Mtume SAW, jambo azizi kuliko<br />

A K I L I.<br />

24.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!