Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Abadan.<br />
Nafsi kila siku inataka makuu na kutambuliwa na wewe<br />
kua inayo haki kwako, ni kama vitimbi vya mtoto mdogo<br />
nyumbani kwao na hasa wanapokuwepo wageni. Na kama<br />
ilivyo maalumu nafsi ukiitukuza ni lazima mwisho wake<br />
itakuliza, kwani daima haikutizamii maslahi kwako<br />
Nafsi ilokusudiwa hapa si ingine bali ile <strong>Al</strong> ammara.<br />
Mnyezi Mungu ameelezea kua daima ni yenye kuamrisha<br />
maovu tu haibadiliki hata siku<br />
moja. Kwa kifupi mwenye Akili lazima awe na mifano<br />
iliyotajwa kwenye swifa kumi hizo. Na si rahisi kwa<br />
asiekuwa nazo kudai kua na Akili.<br />
Tunamuomba Mnyezi Mungu mjuzi wa kila jambo atufungulie<br />
Tafhuma katika kuielewa na kuitumia vyema Akili jambo ambalo Mola<br />
Sub-hanalaah amelisema kua ni azizi. Kwani hakuna baada Nuru ya<br />
Bwana Mtume SAW, jambo azizi kuliko<br />
A K I L I.<br />
24.