17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

2. Hilm: Upole.<br />

3. Tawadhu’i : Yaani ule Unyenyekevu ikiwa ni ile hali ya kujitupa<br />

chini na hata kama Mnyezi Mungu amekufanza kuwa<br />

Mfalme mbele za watu kwani hapo hasa ndo pahala<br />

pake. Amesema Bw. Mtume SAW “Mwenye kujiweka<br />

chini, Basi Mnyezi Mungu humrufaisha ( Humnyanyua<br />

humpandisha juu)”.<br />

4. Kuamrisha mema.<br />

5. Kukataza mabaya: Daima hutakia wenzake mambo ya<br />

kheri kila anapokueko baina ya watu.<br />

<strong>Al</strong>- Habib Sayyid Umar akiwa katika safari za Ulaya kwenye<br />

meli, safari hiyo alijiwa na kijana wa kizungu akawa anamtolea nasaha<br />

na kumueleza juu ya Mnyezi Mungu na kumsomea <strong>Al</strong>-Hamdu na<br />

Qul-Huwallahu kwa taabu. <strong>Al</strong>-Habib alimuuliza ni mda gani tangu<br />

amekua Mwislam? akamwambia miezi sita. Lakini aliahidi kwa Mnyezi<br />

Mungu kua akikutana na mtu yoyote atamwelezea juu ya Mola Sub-hana<br />

Wataala, na hali kadhalika katika kukataza Mabaya ambayo watu<br />

huyafanza, uzuri zaidi ni kuwahi kabla ili mtu aweze kujiandaa na<br />

kuyakwepa.<br />

Sifa za batwin:<br />

6. Tafakkur: Yaani hali ya kufikirifikiri hasa katika dalil nyingi<br />

zilizojaa na kutapakaa katika maumbile, kuanzia mbingu<br />

na viliomo juu na ndani yake. Ardhi na viliomo ndani<br />

yake, mfano wa milima, wanyama, majani, maji na<br />

madini mbali mbali. Kwa mtu wa Tafakkur bila shaka<br />

ndani ya Machache hayo angeweza kuandika vitabu vya<br />

Ilimu fani mbali mbali tele na nyingi ni zenye umuhimu<br />

kweli kweli ndani ya maisha ya hapa duniani.<br />

22.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!