17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Na wale ambao zama Sheytwani anapowashika hukumbuka basi<br />

saa hiyo hiyo huwa wanaona (Mno) akili ndo huwa macho,<br />

ikamkumbuka na kumtaja Mnyezi Mungu.<br />

Na azingatie mtu juu ya vitu ambavo tunadai tunavijua mno na<br />

kutokana na kuvijua huko na mazoeya tunahisi ati havitupi taabu hata<br />

kidogo: Radio, Tepu, Tv, Magari, Kamera, Taa za Stimu, Kompyuta,<br />

Mobitel, Inter-net na kadhalika: jee viliteremka moja kwa moja toka<br />

Mbinguni kama mvua?.<br />

Hili ni suala tosha kukuwezesha kuichemsha Akili yako ambayo<br />

labda unatumia sehemu yake moja tu ya – kumi na sita (1/16). Daima<br />

usipoichemsha, itabaki hivyo hivyo mpaka kiyama ambapo itaonekana<br />

kua ulipewa Akili lakini hukuitumia!!.<br />

Sifa za mwenye Akili:<br />

Mnyezi Mungu aliyetukuka amejaalia kila kitu kua na swifa zake<br />

kwa makusudio maalumu ili kipate kujulikana kwa wepesi na<br />

kutambuliwa kwa njia iso na shaka hata kidogo. Halikadhalika Akili nayo<br />

imepewa swifa zake maalumu ambazo zinakujulisha wazi kua mwenyewe<br />

ni mtu mwenye Akili.<br />

Hizi ndo swifa za Akili kutokana na mafunzo alofundisha Bw.<br />

Mtume SAW, katika hadithi iliyopokelewa kutokana na Bi. Aisha (R.A)<br />

hakika amesema:-<br />

Akili inayo Swifa kumi (10) kati yake zimegawika ndani ya mafungu<br />

mawili:- Dhwahiri na Batwin.<br />

Dhwahiri Ni zile zilizo wazi wazi kabisa mtu akiziangalia anaziona,<br />

nazo ni :-<br />

1. Swamt: yaani ukimya, Bw. Mtume SAW katika Swifa hii<br />

pia amesema kua: “ Mwenye kuzidisha maneno yake<br />

basi huzidi kuanguka kwake” (Speech is Silver,<br />

Silence is Gold) (Kusema sema ni fedha na<br />

kunyamaa ni dhahabu – kinaong`arisha.)<br />

21.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!