17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Bismillahir Rahmanir Raheem.<br />

UTANGULIZI:<br />

<strong>Al</strong>-hamdulillah na si vingine bali ni ukweli usiokanushika kua<br />

Mnyezi Mungu ndiye pekee mstahiki wa kila Swifa njema na Rehma zake<br />

Mola pamoja na amani zimwendee mjumbe wake wa mwisho Bw. Mtume<br />

Muhammad (SAW ) Mwalimu mkuu mno, aliyefundisha Umma huu wa<br />

mwisho Ilimu zote tunazozijua kuanzia siku zile za jahilia mpaka leo hii<br />

ambapo huyu humfundisha huyu na kuendelea mpaka siku ya mwisho<br />

ambayo kiitikadi tunaimani kua ipo na itawadia tu bila khilafi wala<br />

khiyari.<br />

Suala lililochukua uzito katika kitabu hiki Akili ni moja<br />

miongoni mwa Mas-la mazito na lilo muhimu sana. Na mwenye akili<br />

hushughulishwa mno na yote yenye kutaalaki na Akili maana kama<br />

iwavyo vyovyote vile.<br />

Wana wa Elimu ya Viumbe vyenye Uhai (Biologists) wa kileo<br />

wanakubali kutoijua khassa Akili ni nini. Hatua moja kubwa walopiga<br />

katika suala zima la akili ni kua kwake Ubongo wa mbele ya kichwa<br />

(Cerebrium) ni kitovu cha akili. Hii imepatikana kutokana na majaribio<br />

ya muda mrefu.<br />

Wana sayansi hao wameelezea ndani ya vitabu kadhaa-wakadhaa<br />

mfano wa “The Exploring Biology” ambapo ndani yake wameelezea<br />

kua hatua moja kubwa walioifanza kutokana na majaribio kadhaa ni<br />

katika kugundua ya kua akili Mahir (ile ilo kusanya mambo matano –<br />

macho, pua, sikio, ulimi, na mikono) na hiyo ni akili (isio julikana kua<br />

kitu gani) ni vilowekwa katikati ya hiyo Cerebrium.<br />

Akili yenyewe ikiwa ni matenda kazi ya hiyo Cerebrium kama<br />

vile uhai ni matenda kazi ya nyanja muhimu za uhai (Protoplasm).<br />

Linapoulizwa suala la akili na wapi katika mwili wa mtu ambapo<br />

Mnyezi Mungu ameiweka. Wengi huona kua akili ipo kichwani, lakini<br />

Mwendawazimu pia anacho. Hakuna<br />

vii.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!