You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Bismillahir Rahmanir Raheem.<br />
UTANGULIZI:<br />
<strong>Al</strong>-hamdulillah na si vingine bali ni ukweli usiokanushika kua<br />
Mnyezi Mungu ndiye pekee mstahiki wa kila Swifa njema na Rehma zake<br />
Mola pamoja na amani zimwendee mjumbe wake wa mwisho Bw. Mtume<br />
Muhammad (SAW ) Mwalimu mkuu mno, aliyefundisha Umma huu wa<br />
mwisho Ilimu zote tunazozijua kuanzia siku zile za jahilia mpaka leo hii<br />
ambapo huyu humfundisha huyu na kuendelea mpaka siku ya mwisho<br />
ambayo kiitikadi tunaimani kua ipo na itawadia tu bila khilafi wala<br />
khiyari.<br />
Suala lililochukua uzito katika kitabu hiki Akili ni moja<br />
miongoni mwa Mas-la mazito na lilo muhimu sana. Na mwenye akili<br />
hushughulishwa mno na yote yenye kutaalaki na Akili maana kama<br />
iwavyo vyovyote vile.<br />
Wana wa Elimu ya Viumbe vyenye Uhai (Biologists) wa kileo<br />
wanakubali kutoijua khassa Akili ni nini. Hatua moja kubwa walopiga<br />
katika suala zima la akili ni kua kwake Ubongo wa mbele ya kichwa<br />
(Cerebrium) ni kitovu cha akili. Hii imepatikana kutokana na majaribio<br />
ya muda mrefu.<br />
Wana sayansi hao wameelezea ndani ya vitabu kadhaa-wakadhaa<br />
mfano wa “The Exploring Biology” ambapo ndani yake wameelezea<br />
kua hatua moja kubwa walioifanza kutokana na majaribio kadhaa ni<br />
katika kugundua ya kua akili Mahir (ile ilo kusanya mambo matano –<br />
macho, pua, sikio, ulimi, na mikono) na hiyo ni akili (isio julikana kua<br />
kitu gani) ni vilowekwa katikati ya hiyo Cerebrium.<br />
Akili yenyewe ikiwa ni matenda kazi ya hiyo Cerebrium kama<br />
vile uhai ni matenda kazi ya nyanja muhimu za uhai (Protoplasm).<br />
Linapoulizwa suala la akili na wapi katika mwili wa mtu ambapo<br />
Mnyezi Mungu ameiweka. Wengi huona kua akili ipo kichwani, lakini<br />
Mwendawazimu pia anacho. Hakuna<br />
vii.