17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Suala la pepo na Moto si suala la mtu kujipangia, amma sivyo hangeingia<br />

yeyote Motoni. Lakini suala la kufananishwa mtu ambaye Mnyezi Mungu<br />

amemtukuza kupita viumbe vyote hapa Duniani aje kufananishwa na<br />

Mnyama asiye na akili na papo awe mpotevu zaidi, hilo ni tusi zito sana.<br />

Mambo ya kweli kama haya inataka mtu aweze kuyazingatia na<br />

kuazimia azma ya kweli kujibadilisha kwa kadri ya uwezo wake pamoja<br />

na kumuomba Mnyezi Mungu amuongoze kwa Rehma zake.<br />

Mnyezi Mungu anajua sana jinsi uzito wa Mitihani yake ulivyo kwa<br />

mtu katika mapambano yake na Nafsi yake, Matamanio, Dunia na<br />

Sheytwani, Basi, hakuna haja ya kukata tamaa na Rehma zake Sub-Hana<br />

Wataala.<br />

Tazama vile Mnyezi Mungu atuambiavyo katika: Qur an 39:53<br />

“Sema, “Enyi waja wangu mliojidhulumu Nafsi<br />

zenu, msikate tamaa na Rehema ya Mwenyezi<br />

Mungu bila shaka Mwenyezi Mungu husamehe<br />

Dhambi zote. Hakika yeye ni mwingi wa kusamehe<br />

(na) mwingi wa kurehemu”.<br />

<strong>Al</strong> –Habib (Mwinyi Baraka), Akisema: “Hakuna dhambi<br />

inayomshinda kuisamehe ila Shirk”. Kawli hii ukiitia maanani<br />

unapata matumaini ya moyo kua Mnyezi Mungu ni mzuri mwenye<br />

huruma mno kuliko Mama kwa kichanga chake.<br />

Tusisahau pia vile alivyotuusia Bwana Mtume S.A.W. katika<br />

maneno yaliyojaa hikma ndani yake kua:<br />

“Mtu ni hadithi (Mazungumzo tu) baada yake,<br />

basi (Tu) jitengenezee hadith nzuri kwa<br />

watakaokuja kusimulia (Baadae)”<br />

17.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!