12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

UONGOFU:Mnyezi Mungu akiwa kwa mapenzi yake ndoalowaumba wana Adam, kwa nini tena aje kuwatia motoni,huu uongofu si wenye kutoka kwake bali ni kwa mtumwenyewe?Suala hilo lilifikia karibu na kufanana na lilelililoulizwa katika Interview muhimu fulani lilosharitiwakua ndio au hapana. (yaani jibu liwe ndiyo au hapana). EtiMnyezi Mungu anaweza kuumba jiwe moja mfano wa hiidunia?. Je anaweza kuumba jiwe kama hilo halafu ashindwekulibeba?. Hili ni suali tatanishi na ni lenye mtego ndaniyake, kiasi cha kuonyesha kwamba kwa pande zote zamajibu mja anakua ameshaingia ndani ya kufru bila kujijuakama ni mwenye akili ndogo. Majibu ya suali hilo yalikuamawili :Jibu la Kwanza:Mnyezi mungu anamsamehe amtakae, naanamuadhibu amtakae. Mnyezi Mungu anapomtakia mjawake kheri; basi humuongoza katika dini; kwa nini? Kwasababu yeye humuongoza amtakae katika njia iliyonyookanayo ni dini (Islam).Pengine Mnyezi Mungu humuacha kupoteayule amtakae. Minighayr kujulikanwa na mwinginepalikuwepo mkataba gani katika siku za ahadi na mithaki(za genetic life) Uhai kabla ya kuvaa mwili waudongo huu wa kidunia) baina yake Mnyezi Mungu nayule mja.Katika hakika kama hizo hizo aliambiwa Bw. Mtume (SAW)Kuwa: Qur an 61:5.“Na wakumbushe (Nabii) Musa alipowaambiawatu wake: “Enyi watu wangu! Mbonamnaniudhi, hali mnajua kuwa mimi ni1

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!