12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

بسم هللا الر حمن الر حيمUTANGULIZI:Bismillah wal khayru wash sharru Bimashiyatillah.<strong>Al</strong>lahumma swalli ala habibika sayyidna Muhammadkhaatamul Anbiyaail-lah waalihi wa swahibihi wa sallam.Wa baad, liliulizwa swali ambalo jibu lakelilisababisha kupekua zaidi hakika yake, na kufikiauzinduzi wa kijitabu hiki kipetopeto ili wale ambaohawakuwepo zama za kutupa mas-ala haya nao piawaelimike na kufaidika nalo kama kweli ndani yake zipofaida. Kwa kadiri ya ujuzi alotupa Mnyezi Mungutumejaribu kulijibu kwa kuchegemeza hoja zote kwa njiaya kurejea ndani ya Qur-an kitabu cha Mnyezi Munguambacho ndani yake zipo hakaik kuhusu yote yahitajiwayondani ya mapito ya uhai wa kila siku hapa dunianina pia mraa-ja-a katika hadithi za Bwana MtumeS.A.W. kwani tumeamriwa kufanza hivyo kila tunapokosakuafikiana au kukubaliana katika jambo lolote lile. MnyeziMungu ametuambia kua amedhibiti kila kitu ndani ya kitabuchake hicho yaani Qur-an, kwa hiyo upo umuhimu mkubwakatika kutuwezesha kutatua mambo yetu.Halkadhalika hadithi kwani Bw. Mtume ndiyealokabidhiwa shughuli za kubainisha Qur an kwa watu. Nando maana Mnyezi Mungu anatuamrisha kumtwii MtumeSAW na kupokea lolote analotuamrisha au analotukatazanalo. Ipo hatari ya kuvukwa na Uislam pindi tukiyapingahayo. Anaemtii Mtume basi, ndo amemtii Mnyezi Mungu.Sababu si za kuelezwa bali akili yake mtu inamtoshakumfunulia hakika ya jawabu.Qur an 4:59.ii

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!