12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

hataki mwenyewe kuongoka); na humuongoza amtakae, basi roho yako isitoke kwamajonzi juu yao; kwa yakini Mwenyezi Munguanayajua (yote) mnayoyafanya.Na tutizame yaliyomo ndani ya aya 22 ya Sura ya 39 Zumarambayo hatukosi kuona ukweli ya kua uongofu kwa sehemukubwa uko mikononi mwa Mnyezi mungu:Qur an 39:22.“Je! Mtu ambaye Mwenyezi Munguamemfungulia (amemfungua) kifuachake kuukubali uislam, akawa yukokatika nuru itokayo kwa Mola wake (nisawa na mwenye moyo mgumu)? Basiadhabu kali itawathibitikia wale wenyenyoyo ngumu wasimkumbuke MwenyeziMungu. Hao wamo katika upotofu(upotevu) ulio Dhwahir.Mapatano kati ya mja na Mnyezi Mungu mpaka ajekumfunga kifua chake kusikubali Uislamu ni khabari zenyekujulikanwa na yeye tu Sub-hana wa Taala, na hawezimwingine, kilicho muhimu ni kudumisha unyenyekevu kilasiku pamoja na kumuomba Mnyezi Mungu atubakishe ndaniya Uislam mpaka siku ya kuitoka dunia iwe tumo ndaniyake, Mfano wa Seyyidna Ibrahimu ASW kwa wanawe naSeyyidna Yaaqubu AS katika kuwanasihi watoto wao:Kwanza:-.Qur an 2:132.5

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!