12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Jibu la pili:Amma katika upande wa pili wa jawabu katikasuala la uongofu, ni kama lifuatavyo katika kuanza kwake nakawli ya Mnyezi Mungu:-Qur an 10:108.“Sema: “Enyi watu!Haki imekwisha kujieni kutoka kwa MolaWenu basi anaeongoka anaongoka kwa(faida) Nafsi yake,na anaepotea kwa(khasara ya) Nafsi yake, (mwenyewe) na mimisi mlinzi juu yenu (mimi ni mtoaji khabari tu)”Mnyezi Mungu hamtii mtu motoni bali mtu ndomwenyewe anajitia motoni. Sababu ni kwamba MnyeziMungu anataka kila kiumbe na hasa Bin Adam na Majiniwamwabudu yeye tu ili aje awalipe pepo. Na akatoa chombomadhubuti cha kufahamia haki na batil, nayo ni akili, kwahiyo baada ya kuleta mitume kuja kukukmbusha nakufahamisha zaidi na zaidi nini anachotaka.Ametarajiwa mtu kua ataongoka akitumia Akili yake,kwa hiyo anaeongoka kwa faida yake mwenyewe, naanaepotea basi ni kwa hasara yake mwenyewe. Na MnyeziMungu si mwenye kudhulumu waja wake:"Hakua mola wako mwenye kudhulumu waja".Pamoja na kua Mnyezi Mungu humwongoa amtakae nahumwacha kupotea amtakae, lakini ameacha nafasi kubwakwa mja mwenyewe aonyeshe kua anataka kuongolewa auhataki. Nafasi hiyo imo kwenye Akili yake mtu, kwa hiyo:Qur an 17 : 15.11

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!