12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Maneno Ya Hikma:*** Mtu ni kuendeshwa (msayyir), si mwenye khiyari*** Muumini wa kweli hana khiyari katika ambayoMnyezi Mungu na Mjumbe wake wameamua.*** Uislamu ni Dini ya maumbile*** Kila kizaliwacho huzaliwa katika ncha ya Uislamu.*** Husunul kha-timani kukata roho na "La-ilaha allalLahu" – Malipo yake ni pepo.*** Bwana Mtume SAW. Ametwawafu na kauli yamwisho: "Ummati – Ummati" (Umma wanguUmma wangu).*** Uwongofu ni wake yeye Sub-hana wataala.Bwana Mtume S A W amesema:-“Nimepewa elimu koche koche.Katika hizo ni elimuambayo nimeamrishwa niwafundishe watu wote. Na katiyake ni elimu ambayo nimeamrishwa niwafundishe watumahsusi. Na miongoni mwa elimu hizo zipo ambazonimeamrishwa nisimfundishe (mtu) yeyote”.Bwana Mtume S A W amesema:-“Mwenye kuchukua maji ya mvua akayasomea ndani yakeSuratil:Fa-tiha………..………………….………….70Suratil – Naas………………..........………...70Suratil – Falaq………………….…………...70Suratil – Ikhlas…………………….……..…70Na swalatu alan naby…………….....…........70Basi nina apa kwa yule ambae roho yangu iko mikononimwake, hatokunya maji hayo ambaye ana ugonjwa wowoteilla Mnyezi Mungu atamponesha”.(Hadithil Quds).Kasema Bwana Mtume S A W kua:-“Mwenye kutaka kuelezea maovu ya mwenzakebasi na atangulize kueleza maovu yake yeyemwenyewe kwanza.(Kwa kua kila mtu ana makosa tu, maadam sio maaswun-yaani alokingwa na kufanza maovu) nawalo bora katika watenda makosa ni wale wenyekutubia”.18

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!