12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Na anayefanya uovu (hata) wa kiasi chamdudu chungu ataona jazaa yake"Qur an: 2 : 281.“Na iogopeni siku ambayo mtarudishwakwa Mwenyezi Mungu kisha viumbe wotewatalipwa kwa ukamilifu yote waliyoyachuma,nao hawatadhulumiwa”.Atasema nini mtu wakati mambo yote aliyoyafanyakwa Akili yake yamedhibitiwa vizuri na kwa uadilifu kabisa.Na hoja zake mtu zitazidi maana yake mtu atakua mbishikatika kuania kujitetea basi atazibwa mdomo, na viungovyake mwenyewe ndo vitazungumza kumtolea ushahidi:-Qur an 36:65."Siku hiyo tutaziba vinywa vyaoitazungumza mikono yao na itoeushahidi miguu yao kwa yale (yote)waliokuwa wakiyachuma".Ushahidi kama huo lau ungeruhusika kutumiwahapa duniani basi fedheha zingekithiri kwa watu, na penginewengi wangekua wasafi kuliko walivyo leo takribanulimwengu mzima, hata katika nchi ambazo katiba yao niQur-an mfano wa Saudia, lakini Mnyezi Mungu mwingi warehema, na mwingi wa kusubiri.Mtu ataambiwa haya ingia moto wa jahannam leokwa yale uliokuwa ukiyakufuru. Basi kwa sababu ya ukafiriwako ukakataa kupokea uongofu. Hujaambiwa wewekuambiwa kwamba:- Qur an 45:11.13

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!