12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mwenyezi Mungu kupotea, basi hana wakumuongoa Na ambaye Mnyezi Munguanamuongoa hakuna wa kumpoteza. Je!Mwenyezi Mungu si mwenye nguvu anayewezakulipa kisasi”.Kwa hakika hiyo ni yenye kuonyesha Dhwahir shaahirya kua Uongofu wa kweli ni wa Mnyezi Mungu:"Inna Hudallahi Huwal Huda"Na sio rahisi mtu kumtibua. Si siku nyingi zilizopitaWaislamu wa China walichomewa Misahafu yao na Vitabukadhaa vya dini na Misahafu mingine na mingine iliwezakuandikwa kwa urahisi kabisa, sababu Qur an ilikua vifuanimwa watu. Dhanna yao kua kwa kuichoma Misahafu yaWaislamu wa kichina ndio wangefaulu vizuri sana katikakuupotosha Uislamu na waumini wake, ilipiga chini nakufedheheka. Amma kwa upande wa Ammi yake BwMtume SAW - Abu-Lahb Ibn Abdul Mutwalib yapo mengiya kuzingatia juu yake, yeye Abu-Lahb alipinga sura kadhawa kadhaa, lakini tangu ilipoteremshwa Suratul “Lahb”yaani: “Tabbat-Yadaa” Sura ya 111 hakuweza kufunuamdomo wake kabisa. Na ajabu zaidi ni kwamba aliishi kwamuda wa miaka kumi ndio akafa bila kusilimu hata kiuongotu, ili ipatikane ufifilishi na kutangua kauli ya MnyeziMungu ilokwisha hukumiwa juu yake. Tizama vipi MnyeziMungu anaelezea katika hakika ilomo mwenye:Qur an 40:33“….Siku mtakapogeuka nyuma (mkimbie nahamna pa kwenda) hamtakua na mlinzi kwaMwenyezi Mungu, na mwenye kuhukumiwa na7

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!