12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

na kumtia kitanga machoni pake;basi nani atamuongoza baada yaMwenyezi Mungu? Je; hakumbuki?”.Pengine tunaambiwa hivi ifuatavyo :Qur an 6:39.“Na wale waliokadhibisha hoja zetu ni viziwina mabubu na wamo gizani. AmtakayeMwenyezi Mungu humwachia kupotea; naamtakaye humweka katika njia iliyonyooka “.Mfano wa aya 6:39 kama hizo umejaa ndani ya Qur an.Masikio, Macho, Moyo ni sehemu ya Akili kwa hiyo MnyeziMungu anapokwishapiga muhuri ndani ya Akili ya mjahakuna wa kufuta, hiyo ni hakika tosha lakini siyakuwezekana kushuhudika kwa macho ya mtu. Na ajabu nikwamba hata anayehusika haiwi rahisi kwake kujijua kuwaameishapigwa muhuri na kwamba baas, hana chakuongokewa tena katika maisha yake. Hizo sio hakaik zotemwenye Quran ambazo zinashuhudia kwamba MnyeziMungu anamwokoa amtakae bali alal akalli ni toshakukumbusha mtu katika kukokoteza mazingatio na imaniyake anapokua mtu Mwislam na anatekeleza yatakiwayo,basi si kwa ujanja wake au nguvu zake lakini ni kwakutakiwa na Mnyezi Mungu kheri kama hio, kwa hiyoazidishe mtu ule unyenyekevu na kuzidi kuomba kila sikumtu abakishiwe kheri hiyo mpaka mwisho wa uhai wake.Wapo ambao wanaowahusu katika jamaa zaowanawaendea mbio huku na kule ili waache yaleyaliyowavaa angalau waingie msikitini siku moja tu lakiniwaapi! Wanashindwa, pamoja na kutakiwa na kutaka kwaokujitoa katika machafu yao (mambo maovu walokwishayazoea na kubobea ndani yake). Kwa nini basi, sababu nikwamba Mnyezi Mungu muumba wa viumbe wote amejaalia9

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!