12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mtume wa Mwenyezi Mungu (niliyeletwa)kwenu? Basi walipoendelea na uovu wao,Mwenyezi Mungu aliziachilia nyoyo zaozipotoke (kama walivyopotoka wenyewe);na Mwenyezi Mungu hawaongoi watuwaovu (wenye Kutoka katika ta`a yake)”.Vile vile katika:Qur an: Qasas 28:56."Kwa hakika wewe huwezi kumuongoaumpendae, lakini Mwenyezi Munguhumuongoa amtakae nayeanawajua waongokao. (Kwa hiyoanawaongoa na anawajua wasiotakakuongoka kwa hiyo anawaachiliambali) Mwenyezi Mungu ndie ajuayeni nani anaeongoka."Na yule ambaye Mnyezi Mungu amemuacha apoteehatoweza kupata wa kumuongoa, mtu ataachwaakitangatanga ovyo tu. Katika hadithi ya Bwana MtumeSAW iloelezwa na Swahaba mashuhuri kabisa (Bw)Abdallah Ibn Mas-ud R.A. katika kuumbikamwanadamu ndani ya tumbo la mama yake kuanzia tone lamanii mpaka kupuliziwa roho; Hakika hii inajitokeza kamahivi mwishoni mwake:“…Naapa kwa yule ambae roho yangu (Nafsiyangu) iko mikononi mwake, hakika mmojawenu ataishi akifanza amali za watu wa peponi,hata haitabaki kati yake na hiyo pepo Illadhiraa moja tu – kitamtangulia kitabu(kilichoandikwa siku ile ya kupulizwa roho)2

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!