12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

“Na Mwenyezi Mungu angalitaka kwa yakiniangelikufanyeni kundi moja tu (mnamtii nyotekama alivyowafanya malaika lakini kakufanyenimfanye mtakavyo) lakini anamuacha kupoteaanayemtaka na anamuongoa anayemtaka kwahakika mtaulizwa kwa yale mliyokuamkiyafanya (kwani mmepewa ujuzi wa kujuajema na baya)”Vile vile Mnyezi Mungu anasema mwisho mwa aya ya 17 yasuratul-Kahf : Qur an 18:17.“….Ambaye Mweyezi Mungu anamuongoza basiyeye ndiye anayeongoka; na anayemwachakupotea, basi hutampatia mlinzi mwongozi”.Hakika ya wazi wazi dhwahiri sha-hir ni hiyo lakiniba-tween ya mambo hakuna aijuae illa yeye Sub-hana waTaala. Katika aya ya 8 ya sura 35 Fa-Tweer Mnyezi Munguanatwambia:- Qur an 35:8."Je! aliyepambiwa a`mali zake mbaya naakaziona njema (mtamwambia nini mpakaasikie?). Bila shaka Mwenyezi Munguhumwacha kupotea amtakae (kwa kua4.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!