12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

“Anaeongoka basi anaongoka kwa maslahiya nafsi yake mwenyewe, na anaepoteabasi ni kwa khasara (ya nafsi) yake walahatabeba mbebaji mzigo wa mwingine nasisi si wenye kuwaadhibisha (viumbe)mpaka tuwapelekee Mitume (awafahamisheyaliyo ya haki. Basi wakiyakataa ndipowanapoangamizwa)”.Katika Surat Ja thiya 45:15 Mnyezi Mungu anayohaya ya kusema:-Qur an 45 : 15.“Mwenye kutenda mema basi ni kwaajili ya nafsi yake (mwenyewe) namwenye kufanya uovu ni juu yake(mwenyewe pia) kisha mtarudishwakwa mola wenu".Ndo kusema kila jema analofanya mtu ataliona nakila ovu atalofanya mtu ataliona. Khabari hizo hakika yakeinashuhudiwa na aya zenye kumalizia Surat zilzala 99: 7na 8. Mnyezi Mungu anatuhadharisha kwa kusema:-Qur an 99: 7-8."Basi anayefanya wema (hata) wa kiasi chauzito wa mdudu chungu ataona jazaa yake12

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!