12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

"Enyi mlioamini! Mtiini Mwenyezi Munguna mtiini Mtume na wenye mamlaka juuyenu, walio katika nyie (Waislamuwenzenu). Na kama mkikhitilafianajuu jambo lolote basi lirudisheni kwaMwenyezi Mungu na Mtume, ikiwaMnamwamini Mwenyezi Mungu na sikuYa mwisho. Hiyo ndiyo kheri, nayo inaMatokeo bora kabisa".Kwa hiyo tunaomba Tawfiq kwa Mnyezi Mungu naMtume S.A.W. ili tuwezeshwe kuandama haki nakuongozwa katika kuitetea Dini yake ilonyooka.Twabaani vikwazo vitakuwepo lakini kila tukiangalianyuma tunaona kua Maswahaba walikutwa na misukokoskomizito kuliko sisi. Wengi ya watu hutaka wasiguswe kwasababu wamesilimu na wanaswali. Jee vyeo na darajahawataki? Na ni nani ambae angemudu kutangua katiba yaMnyezi Mungu alieumba mauti na uhai ili atupe balaa iliaweze kujulikana kama ni nani atakua na matendo mema?Qur an 67:2.”Ambaye ameumba mauti na uhaiKukujaribuni (kukufanyieni mtihani):Ni nani miungoni mwenu mwenyevitendo vizuri zaidi. Naye ni mwenyenguvu (na) mwenye msamaha”.Hii ni njia moja ya kukumbushana kama tumetokeakusahau. Kutokana na udhaifu wa binadamu hatuwezikujigamba kuwa yote tuliyo yaandika ndo yametimia walahaihitaji mkono wa mtu mwingine, laaiii

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!