30.01.2013 Views

constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

constituency ya Kabete, kuna police station moja. Ukiangalia kama kule kwa Wazungu, Westlands Constituency, kuna police<br />

station tano. Ni kwa nini na tumekuwa na uhuru? Ukiangalia Kilimani, ukiangalia Langata, every constituency, they have five<br />

police stations, na hapa hakuna mtu anatufikiria. Tunaambiwa nendeni mkae na police station moja, shauri yenyu. Kwa hivyo<br />

tungetaka kugawiwa polisi, kulingana na population.<br />

Nikasema ya kwamba, katika location, iwe kazi ikifanywa na chief. Kuwe na wazee kumi na wawili, na kuwe na police station<br />

pale. Hawa wazee watakuwa wakizungumza na police station. Hakuna haja ya kumleta chief, kwa sababu hakuchaguliwa, na<br />

wale polisi wamesomea Kiganjo, they knew the Constitution ya nchi. Akiletewa mambo na mzee anawambia mzee,<br />

singemshika huyo mto kulingana na Constitution namba fulani. Wale askari wanakaa na chief, hata hawajui Constitution ni nini.<br />

Hata hawajui law ni nini. Tumejitawala nini?<br />

Kwa hivyo nikimalizia nataka kusema, nilipokuwa nikifanya research juu ya region, nikaona ya kwamba, ni lazima tuwe na watu<br />

wa kuangalia local authority, na ni lazima tuseme ya kwamba, tuwe na region saba. Tunaanzia na Coast Province. Nikaona ya<br />

kwamba ina watu wengi wangekuwa 4.7 million. Tunaweka Coast Province, Northern Eastern Province, Makueni, na Kitui na<br />

Mwingi, inakuwa million moja. (Can you see page 12) Tukienda katika Nairobi region, tunasema Nairobi, Machakos,<br />

Kajiado, Kiambu, Thika upper Makueni. Kwa hivyo Nairobi haiwezi kukua, bila kuwa na Kiambu na Machakos na Kajiado.<br />

Kwa hivyo tukitaka city yetu iendelee, lazima hizo districts ziwe pamoja. Tunaenda Mount Kenya region. Tunasema Nyeri,<br />

Kirinyaga, Meru, Embu, Isiolo, Marsabit, Murang’a and Moyale. Wanakuwa 4.2 million.<br />

Hivyo ni kusema ya kwamba mavuno yatakayo patikana kutoka Meru, Nyeri kwa Kahawa, inasaidia watu watu wa Isiolo na<br />

Marsabit, na sisi tumekuwa tukiwasaidia; kwa sababu watu wengi wamesoma katika Marsabit. Pesa zimetoka hapa kwetu, sisi<br />

ndio tuliwasomesha, kama Anglican Church, na kwa hivyo ingekuwa vizuri hivi (ninabakisha tu dakika moja). Rift Valley,<br />

Southern Rift Valley, nasema tuwe na Samburu, Laikipia, Nakuru, Nyandarwa, Kisii Gucha, Narok, Bomet and TransMara.<br />

Wanakuwa million tatu. Rift Valley North, Baringo, UasinGishu, Nandi, ElgeyoMarakwet, TransnZoia, Koibatek,... district na<br />

West Pokot, Turkana, Kericho, they are about four million. Nyanza province, wawe Wakisii na Luo Nyanza 3.9 million.<br />

Tuende katika Western Kenya, they are about 3.3 Million. In summary watu wote wanakuwa 2.8 million. Kwa hivyo, mimi<br />

ningesema ya kwamba, asante sana kwa Chairman kunipa dakika kidogo, lakini nataka kuwauliza, hii Constitution iishe mbele<br />

ya elections. Kwa hivyo sisi tumeumia sana. Kuenda kwa elections bila Constitution mpya, itakuwa ni kazi ya bure. kwa<br />

sababu kila mtu anataka kwenda State House. Anyakuwe yale mashamba yamebaki, ndio wanataka. Sasa, ata choo<br />

wemeuza, wameuza hata barabara, na tena tuende kwa elections na ile Constitution. Hata DP, hata chama kingine, kikipenda<br />

kwenda na Constitution hii, ili wajigawie kwa sababu tuliwafanyia campaign. Kwa hivyo, tunataka tuwe na Constitution yetu,<br />

na hatutaki Constitution ya kumuondoa mtu. Tuanataka Constitution ya kutawala nchi yetu kwa njia ya haki. Kwa sababu<br />

kulingana na vile nimesema miaka yangu. Taabu katika Kenya, sio Moi ama mtu mwingine. Lakini katika hii, Constitution,<br />

inasema President ndio mkubwa wa kahawa, hata choo ikijengwa yeye ndiye atato amri. Hata nini ikifanyika yeye ndiye<br />

atasema. Kwa hivyo, tunataka wakienda, tuwe na Constitution yetu. (clapping)<br />

11

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!