30.01.2013 Views

constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

that one. Unakuta ya kwamba they cannot discuss anything, because they are about 10 MPs, or something like that. Sasa it is<br />

because, an MP can be absent from the house, for more than two weeks; because these people go to the Parliament three days<br />

a week. So in two weeks that is six times, and somebody can go for his own businesses more than two weeks, and yet he is<br />

still a member <strong>of</strong> Parliament. Kwa hivyo ningetaka hiyo iwe reduced, If I will be able to see that in the Constitution I will be<br />

very very happy. Kwa hivyo iwe reduced to something like four appearances, na isiwe ni ile ya pole sana, yaani technical<br />

appearance na kutoka inje. Isiwe ni hiyo. Iwe ni appearing in the house, something like that. The other one I would like to<br />

mention is about (I dont have a memorandum please, I am not reading a memorandum so I am taking 5 minutes as you had<br />

suggested).<br />

Hiyo ingine ni the minimum number <strong>of</strong> years that a President can have. Watu wengine wamesema 45 years, that is on the higher<br />

side. Let it actually be 30 years, which is okey. Halafu tu-avoid seniority, yule mtu mzee kabisa wa miaka 78, na pia anataka<br />

kupigana na vijana kama sisi, hiyo tu- avoid, iwe ni 75 years. Hata Bible imesema ukipitisha 70 years, wewe mambo yako<br />

imeisha unaishi, kwa ile, mumitaga mbacici iyo. Kuoguo miaka 75, gutirei mundu wagiriiruo ni gukorwo ari President, no<br />

ingigikinya-ri, ukiri President-ri no ukirikie. So let us avoid muthuri mukuru muno. Ni wega muno muthuri mukuru ari guku, no<br />

tutigwitikira uhoro ucio wa muthuri mukuru gukorwo ari President kumagia Constitution ino ya kirika. Undu uria ungi ibuku ria<br />

Constitution ino wona ria thondekwo, nirikorwo riri available nigetha tugakihota gukiriona na mbeca nini. Tariu ingiuga tuoe<br />

moko haha naiguru na ndikuuga, mundu wothe uri wahutia ibuku riri ritaguo Constituion Book <strong>of</strong> Kenya, oe guoko naiguru ona<br />

kana uri warithoma-- I thank you very much Hon. Muite, he is a student <strong>of</strong> law, hari ungi please? Reke rituike available, I don’<br />

t know whether in the costs, ndiui kana ni ma-includire printing many books. They can be distributed in churches and such<br />

organization. Kuoguo ibuku riu rikorwo ri available, and at affordable price. Riu ni kurikia ndirarikia.<br />

The other one is about appointing senior people in the government, especially parastatals. This appointing by the President,<br />

there will come a time that a thug will be appointed to lead a certain parastatal. May be President Moi has been very good, I<br />

am not saying he has been very good, I am saying that maybe, but there will come a time that a certain Wanugu, or a certain<br />

Rasta will be a leader <strong>of</strong> a certain parastatal, so the President should nominate somebody, but Parliament should vet that<br />

somebody by a 2 1/3 majority; even sacking somebody should be the same. We don’t want to hear like now, ati Commissioner<br />

huyo kwa sababu ni appointed, ati amepigiwa simu hapa, ameambiwa pack and go. We don’t want something like that.<br />

There should be a process, na hiyo mambo ingine yote nime-support, ile watu wamesema; lakini mambo ya security ya polisi<br />

wetu. Polisi wamekuwa wakora, I am a victim. Another day walininyanganya pesa pale kunaitwa River Road, ilikuwa<br />

nikiteremka hivyo akanishika, akaniitisha kitambulisho, by mistake sikuwa na kitambulisho lakini leo nimebeba kitambulisho.<br />

Wakaniambia uko na nini? Wakanitoa mia moja hey, hey, hey, nikawaambia sina fare, wakanipatia shilingi ishirini, hiyo basi<br />

iaangaliwe sana.<br />

Mambo ingine, nikimaliza kabisa, mambo ya chief iondolewe hawa ndio wameleta chang’aa, ndio wana promote chang’aa.<br />

50

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!