30.01.2013 Views

constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Francis Kairu: Ringi ona ingika harambee na ndiri na andu aingi manjui tundu ndiri na uhoti,<br />

Translator: Nikifanya harambee, na mimi sina watu wengi ambao wananijua, kwa vile mimi maskini.<br />

Francis Kairu: kwoguo korwo no kuhoteke Constitution iria iguthundekwo, githomo gikorwo gi gia tuhu, thirikari ikorwo<br />

niyo igukua jukumu iyo.<br />

Translator: Ikiwezekana serikali elimu ikuwe ya bure na serikali pia ichukuwe jukumu hilo.<br />

Francis Kairu: Nigetha mwana onakorwo aciari ake matiri na hinya na ni araigua githomo ni akuhota guthii nginya akinye<br />

university.<br />

Translator: Kama mtoto atakuwa mwerevu, na wazazi hawana uwezo, atasoma hata kuendelea university.<br />

Francis Kairu: Mwana ucio ona riria akarikia githomo kiu, ndagoka guteithia muciari wake ari o wiki.<br />

Translator: Na itakuwa wakati yule mtoto atakae hitimu masomoni yake, hatasaidia tu wazazi wake peke yao.<br />

Francis Kairu: Agoka guteithia community tondu angikorwo ni ndagitari kana ni lawyer, andu acio, community, a area iria ari<br />

nio agakorwo agiteithia. Kwguo mundu ndagakorwo ari wa muciari, agakorwo e wa community.<br />

Translator: Yule mtoto anaonekana akimaliza akifaulu, atakuja kusaidia community ya area yake na hata nchi kwa jumula.<br />

Francis Kairu: Kwguo thirikari korwo no kuhoteke niyo yagiriirwo ni gukua thiina ucio wothe no ti muciari.<br />

Translator: Lakini ikiwezekana serikali inafaa kubeba ile mzigo sio mzazi peke yake.<br />

Francis Kairu: Nigetha muciari angikorwo ndari na hinya, mwana wake ndakae gutigwo na thutha ni undu wa kwaga hinya.<br />

Translator: Ili kama mtoto, ama mzazi hana uwezo, asiachwe nyuma kwa ajili ya shida.<br />

Francis Kairu: Uguo noguo nyuma na guo.<br />

Translator: Hiyo ndio nilikuwa tu nayo, asante. Sign hapa.<br />

Com. Wambua: Asante sana Francis Kairu. Watatu atakuwa ni, Lay Cannon Gideon Numa.<br />

Gideon Numa: Kwa majina ni Lay Cannon Gideon Numa, na mii ni mkaaji wa Kikuyu, tena kazi yangu ni ya biashara na<br />

ukulima, na tena ni mzee wa kanisa. Mimi ningeuliza <strong>commission</strong>, kwa sababu nimeandika kwa memorandum, badala ya<br />

kunipa dakika tano, iwe kumi, kwa sababu ningependa kueleza kidogo. Tena mimi ni mzee kidogo, ikiwezekana. Mimi nataka<br />

kuzungumuza juu ya Katiba mpya, na nita taja kidogo, historia kidogo, ya kwamba katika nchi hii, ilitawaliwa na Waingereza,<br />

mwaka wa 1896, na walikaa miaka 67. Halafu tukawa na serikali yetu ya KANU, ikiongozwa na Kenyatta. Wakati Kenyatta<br />

8

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!