constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
above Parliament. May be one way <strong>of</strong> dealing with this is through a coalition government. That way, we shall be able to have<br />
two or three parties controlling the government, instead <strong>of</strong> one party having a monopoly <strong>of</strong> every other organ <strong>of</strong> the government.<br />
So, that is all I have to say, thank you very much.<br />
Com. Wambua: Asante sana, tafadhali Bwana Lucas saa hii yuko? Ningependa kutaja ya kwamba sasa wale<br />
wamejiandikisha mpaka wa sasa ni mia moja, na bado wanaendelea kuongezeka. Kwa hivyo tumeonelea ya kwamba; kama<br />
tutasikiza kila mtu, lazima tupunguze muda wa kuzungumzia maoni yenu. Kwa hivyo watakao kuwa na memorandum, ama<br />
maandishi tutawapatia dakika tatu. Wale ambao watazungumza bila maandishi, tutawapatia dakika tano. Na kama mtu<br />
amezungumzia jambo fulani, hakuna haja ya kurudia, utaje. Maanake tayari tume record. Kwa hivyo utaje tu, unasupport kitu<br />
fulani, basi hiyo itatosha. Kwa hivyo usirudie tena kueleza maanake tayari tumeshaa pokea hayo maoni asanti. Timekeeper<br />
atafanya kazi yake sasa. Tulikuwa tunajaribu, na watu kumi wa kwanza na tukisikiza kwa dakika tano tano, na kumi<br />
hatutamaliza. Kwa hivyo sasa tutaanza na 3 minutes na 5 minutes. Timekeeper atakuwa strict. Kwa hivyo ukiamuriwa utoke<br />
hapo tafadhali utoke. Tutamuita James G. Njuguna. 3 minutes tafadhali, kama uko na memorandum 3 minutes, kama huna ni 5<br />
minutes.<br />
James Gitema: Nii ngwaria na Gikuyu tundu ndiri fluent na Githungu kana Githweri. Ona ni munyaka kurugama mbere ya<br />
andu aya, ndiri ndarugama mbere ya andu ta aya. Maritwa makwa njitagwo James Gitema na nyumite Gathiga.<br />
Translator: Majina yangu ni James Gitema, kutoka Gathiga.<br />
James Gitema: Ndiroka gwi <strong>commission</strong> kumera item ici igiri tu,<br />
Translator: Nakuja kwa <strong>commission</strong> kuwambia mijadala miwili tu.<br />
James Gitema: Judges,<br />
Translator: Majaji,<br />
James Gitema: na junior ciao,<br />
Translator: na wadogo wake,<br />
James Gitema: nii ingi-recommend kana ingiuria makoragwo me public appointees through Parliament.<br />
Translator: ningeuliza wawe wakichaguliwa na watu wananchi.<br />
James Gitema: Ndirauga uguo tondu ndi victim.<br />
Translator: Nasema hivyo kwa maana, mimi nimeshiriki katika mambo haya.<br />
James Gitema: Ndioi mbere iyo kana watho niguo utwaraguo thiini wa magotini.<br />
20