30.01.2013 Views

constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

above Parliament. May be one way <strong>of</strong> dealing with this is through a coalition government. That way, we shall be able to have<br />

two or three parties controlling the government, instead <strong>of</strong> one party having a monopoly <strong>of</strong> every other organ <strong>of</strong> the government.<br />

So, that is all I have to say, thank you very much.<br />

Com. Wambua: Asante sana, tafadhali Bwana Lucas saa hii yuko? Ningependa kutaja ya kwamba sasa wale<br />

wamejiandikisha mpaka wa sasa ni mia moja, na bado wanaendelea kuongezeka. Kwa hivyo tumeonelea ya kwamba; kama<br />

tutasikiza kila mtu, lazima tupunguze muda wa kuzungumzia maoni yenu. Kwa hivyo watakao kuwa na memorandum, ama<br />

maandishi tutawapatia dakika tatu. Wale ambao watazungumza bila maandishi, tutawapatia dakika tano. Na kama mtu<br />

amezungumzia jambo fulani, hakuna haja ya kurudia, utaje. Maanake tayari tume record. Kwa hivyo utaje tu, unasupport kitu<br />

fulani, basi hiyo itatosha. Kwa hivyo usirudie tena kueleza maanake tayari tumeshaa pokea hayo maoni asanti. Timekeeper<br />

atafanya kazi yake sasa. Tulikuwa tunajaribu, na watu kumi wa kwanza na tukisikiza kwa dakika tano tano, na kumi<br />

hatutamaliza. Kwa hivyo sasa tutaanza na 3 minutes na 5 minutes. Timekeeper atakuwa strict. Kwa hivyo ukiamuriwa utoke<br />

hapo tafadhali utoke. Tutamuita James G. Njuguna. 3 minutes tafadhali, kama uko na memorandum 3 minutes, kama huna ni 5<br />

minutes.<br />

James Gitema: Nii ngwaria na Gikuyu tundu ndiri fluent na Githungu kana Githweri. Ona ni munyaka kurugama mbere ya<br />

andu aya, ndiri ndarugama mbere ya andu ta aya. Maritwa makwa njitagwo James Gitema na nyumite Gathiga.<br />

Translator: Majina yangu ni James Gitema, kutoka Gathiga.<br />

James Gitema: Ndiroka gwi <strong>commission</strong> kumera item ici igiri tu,<br />

Translator: Nakuja kwa <strong>commission</strong> kuwambia mijadala miwili tu.<br />

James Gitema: Judges,<br />

Translator: Majaji,<br />

James Gitema: na junior ciao,<br />

Translator: na wadogo wake,<br />

James Gitema: nii ingi-recommend kana ingiuria makoragwo me public appointees through Parliament.<br />

Translator: ningeuliza wawe wakichaguliwa na watu wananchi.<br />

James Gitema: Ndirauga uguo tondu ndi victim.<br />

Translator: Nasema hivyo kwa maana, mimi nimeshiriki katika mambo haya.<br />

James Gitema: Ndioi mbere iyo kana watho niguo utwaraguo thiini wa magotini.<br />

20

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!