constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
to see you yesterday and I think this is a good team. Thank you very much.<br />
Com. Wambua: Asante sana Bwana Kirirou, sasa tumeingia wakati wa kuanza kupokea maoni, na kwanza nilikuwa nataka<br />
niwaelezee machache; kuhusu utaratibu ambao tutafwata kama Commissioners. Kwanza tunatakiwa kujua ya kwamba, kikao<br />
hiki kinatakiwa kianze saa mbili, mpaka saa kumi na mbili jioni, kwa hivyo wakati wowote ule watu watakapo fika, kabla ya<br />
saa kumi na mbili, tutapokea maoni yao. Mtu anaweza kutoa maoni yake binafsi, ama atoe maoni ya kikundi ambacho kime<br />
kuja kuwakilisha hapa. Lakini tunatakiwa kwanza tujiandikishe kwa form ambayo iko kwa mlango pale, halafu ikiwa umeandika<br />
maoni yako kama ni maandishi, utatoa maoni ile umeandika, ndio tunaita memorandum, basi kumaliza tu kuongea kwa muda<br />
ambao tutakupatia; utaweka sahihi pande ile, halafu uandikishe memorandum. Halafu ukiwa utatoa maandishi, tutakupitia<br />
dakika tano, na ikiwa utazungumza bila kutoa mandishi, tutakupatia dakika kumi. Lakini ikiwa watu watazidi, wawe wengi,<br />
kwa sasa nafikiria tuko na wangapi?<br />
(Interjection) – 40<br />
Com. Wambua: Tuko na arubaine. Tukizidi pengine huo muda tutaupunguza ndio tupate nafasi ya kusikia maoni ya kila moja<br />
wenu.<br />
Unaweza kuongea kwa lugha ya Kimombo ama KiSwahili, ukiwa una shida kutumia Kimombo ama Kiswahili, pengine<br />
unaweza hata kutumia Kikuyu. Halafu tutatafsiri. Kuna mtu wa kutafsiri, halafu tutaandika maoni yako. Na jambo lingine nataka<br />
kutaja ni kuhusu hatua ambazo zitafikia kabla hatujapata Katiba mpya. Hayo pengine ni mambo ambayo tumezungumziwa<br />
wakati Commissioners wamekuja hapa kuwatembelea. Lakini mjue kwamba sisi kama Tume, ni kiungo kimoja tu, cha<br />
kuchukuwa maoni, ama kutengeneza Katiba. Kuna Constitution Forum, kuna National Constitutional Conference, ambayo ni<br />
kikao cha kitaifa, na kuna bunge.<br />
Tukichukuwa maoni kama tume, tutasikia maoni halafu tutatengeneza reporti ambayo itazungumziwa na wananchi katika mikoa<br />
kwa siku sitini. Halafu, sheria inasema kwamba, baada ya kujadiliwa, hiyo repoti itapelekwa katika kikao cha kimataifa, that is<br />
the National Constitutional Conference. Huko kutakuwa na majadiliano zaidi, na tukifikia, wale citizens watakaokua huko, basi<br />
pengine Katiba itaundwa hapo.<br />
Halafu, wakisha maliza, hiyo report itapelekwa Bunge, na Bunge itajadili, na irekebishe Katiba mpya ya Kenya. Kuna<br />
Constitutional Forum, ambacho ni kikao cha wakazi wote wa eneo la Bunge, na hiki ni cha muhimu manake, eneo la Bunge<br />
ndiyo primary organ, kwa hii process ambao ni ya kurekebisha Katiba. Ndiyo mnaona kama Commissioners wanazuru<br />
constituencies, sio kwa districts. Kwa hivyo kikao cha constituencies ni kikao free, na kuna kamati ambayo tayari inahusika na<br />
kuwatayarisha kupeana maoni. Katika eneo la Bunge, kamati ya sehemu hii, ndiyo itasimamiwa na Bw. Kiriro. Kwa hivyo<br />
hayo ni machache, kuwaelezea jinsi itakavyo endelea; kuhakikisha kwamba, hapo baadaye tutakuwa na Katiba mpya. Kwanza<br />
nitapokea maoni ya wananchi, halafu sisi kama Tume tutatengeneza repoti, na hiyo repoti itarejea wananchi tena, waijadili zaidi,<br />
5