30.01.2013 Views

constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Hata nyinyi watu wa Wangige nyote si munajua hivyo? Simunajua River side? Hata tukichukua hawa, si tunaweza kuwapeleka<br />

River side, hakuna mtu hajui hiyo, kwa hivyo chief aondolewe kabisa asante.(clapping)<br />

Com. Wambua: Asante sana, tutamuita Robert Chege.<br />

Robert Chege: Habari zenu, kwa majina ni kama hayo mumesikia. Nimetoka kijiji cha Gathiga. Mimi nashukuru kwa vile<br />

mengi yametajwa hapa, ijapokuwa nataka kugusa tu mambo ya Commissioners. Hilo ni jambo langu la kwanza, kwa sababu<br />

tunaongea mambo ya kutengeneza Katiba yetu sisi wa Kenya. Kuna maswali ingine huwa sisi wa Kenya tunajiuliza, kulingana<br />

na vile sisi huwa tunaona.<br />

Ya kwanza, ni kwa nini wakati sisi tumeitisha Katiba, ndio tunaletwa Commissioners, wale watakuja kutengeneza Katiba. Na<br />

kulinga na maoni yangu, mimi naonelea katika Kanu, ndio tulipata Commissioners wengi. Ilehali katika total votes, zile tuko<br />

nazo katika Kenya. Wako na less votes kuliko party zile zingine katika hii Kenya. Tena kuna wrangles, katika commision yao.<br />

Unasikia kuna political interference, na mambo mengine mbaya, ambayo huwa inaendele tunasikia katika media. Tena hawa<br />

makamishna huenda <strong>of</strong>fisi kwa <strong>of</strong>fisi, na hali hawaendi nyumba kwa nyumba. Kwa hivyo inaonekana, kuna kitu kile wana<br />

serve, katika hii mambo ya kumaliza hii Katiba yetu. Tena tunambiwa Katiba itamalizika by December. By whose mandate, na<br />

Katiba hii ni yetu? Hii Katiba ni sisi tulipatiwa conference, tuende tulizwe ile siku, Katiba hii tumetaja tunataka imalizike. Kwa<br />

hivyo hapo tunaona tena kuna kitu ndani yake imefichwa. Tumeona kama hii Katiba haitafanyika kulingana na vile raiya<br />

wanatoa maoni yao, tutaitisha further reforms kwa miaka ingine kama kumi na tano.<br />

Nikiguza kitu kidogo mambo ya Presidency. President anafaa kuwa na powers, kuwa anapata ile mambo yote inatendeka<br />

katika bunge anapitisha. Hafai kuwa juu ya sheria. Na hiyo basi anafaa kufutiliwa mbali katika bunge. Thus, we can have a<br />

vote <strong>of</strong> no confidence from the Parliament, kama akipatikana na makosa yeyote. He should be <strong>of</strong> Kenyan origin. Awe na<br />

miaka 35 mpaka 70. Awe mtu amefikisha form four and above, na awe na sound mind. Awe ameoa, na awe akitumia bidii<br />

yake pahali inafaa. Awe mtu anajua mambo ya Mungu, na awe sio mtu ambae amehusika na mambo ya corruption, na awe<br />

anadeclare wealth yake, wakati anasimama kwa Presidency. Tuwe na President and Vice President wawili.<br />

Parties: Vyama nazo katika Kenya, ndio tusiwe na mambo ya ukabila, tuwe na vyama vitatu peke yake, katika Kenya yetu.<br />

Na kuwe na serikali ya muungano, ambayo the winning party, huyo President, awe na over 50% total votes, na wa pili awe ni<br />

wa chama hiyo ingine, awe ni first Vice chairman. Wa tatu ni wa chama hiyo ingine, awe second vice chairman.<br />

Kusiwe na mambo ya merger anymore katika Kenya. Kwa sababu mambo ya merger inaleta dictatorship, ina kuja<br />

ku-neutralize wale ma MP wengine wamekuwa swallowed. Hivyo basi, hawana nguvu ya kuongea kwa vile tayari wako chini<br />

ya mtu mwingine.<br />

51

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!