30.01.2013 Views

constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

discuss some intrigues, or some bad behaviour within some regions, facilitated by somebody. Sasa nyinyi mkiungana hapo, ati<br />

muongee kuhusu hiyo tabia mbaya, a policeman is sent to harass people not get knowledge about what has been happening in<br />

some areas. So what I am saying is that, the wananchi should be told, askari akikupata ukifanya hivi, hii ndio inaweza tokea, na<br />

yeye, labda he can only shoot when circumstances are like this or that. Otherwise some <strong>of</strong> them will find you waiting, ukitoka<br />

kwa gari, umechelewa, like now during this season <strong>of</strong> rainfall. Ukitoka kwa gari usiku, unawakuta pale wanakusimamisha. We<br />

should have the standard or the qualifications for which this people are taken for recruitment laid out, and their curriculum<br />

should be enlarged, so that they have so much knowledge about human rights. We are granting them so much power <strong>of</strong><br />

shooting other people, other than wakuwe na elimu ya kujua human rights, ni nini. Hata mimi akinipata, najua right yangu ni nini.<br />

When they take you to the court, we should have somebody from the human rights ndiye ana record kwa occurence book, ile<br />

kitabu inaitwa O.B. so that you explain to him ile circumstance under which you are caught up in. When you are taken to the<br />

court, the judges should have a security <strong>of</strong> tenure so that they reduce this skewed bias in making judgments. (bell rings)<br />

Lastly I want talk <strong>of</strong>, tumeboeka na contractors from the government. Ma-contractors wasemekane wakipatiwa kazi wafanye.<br />

What we are getting ni barabara mbaya, mijengo ikijengwa inabomoka. Like I was working at Mathare Housing Project.<br />

The walls are wearing out because <strong>of</strong> the dubious people who have been contracted. So what I am saying is, if we had some<br />

arrangements, so that sisi wenyewe ndio sisi tunaongea kuhusu ile shida tunayo, ama ile project tunataka ifanywe, halafu the<br />

monies are channelled through the churches, to implement the projects. I think we should have some better work done, other<br />

than having contracting this people. Again let me finish with this point. Tumeboeka tena na hizi <strong>commission</strong>s, now and then.<br />

We want an exhaustive Constitution, unajua ile constituion tunayo hapo, makosa yakipatikana hatustaki watu, kwa hivyo<br />

tunaambiwe tutengeneze <strong>commission</strong> ichunguzwe, because we have no proper ways <strong>of</strong> kufuatilia, kujua makosa ilianzia wapi, na<br />

imefika wapi. Sasa ninataka hii Constitution ifanywe, so that any time makosa ikipatikana, we handle the makosa at that time.<br />

Hatutazidi tena kuambiwa tutengeneze <strong>commission</strong> to investigate. We are spending alot <strong>of</strong> money on this <strong>commission</strong>s. Now<br />

and then and the resolutions they make are never implemented. Thank you.<br />

Com. Wambua: James kuboeka ni kufanya nini?<br />

James Ndirangu: We are tired <strong>of</strong>.<br />

Com. Wambua: Tired. Thank you. Tumuite John Kimani Mbugua.<br />

John Kimani: Habari zenu? Naitwa John Kimani Mbugua. Mengi yamesemwa mimi nikuongeza tu kidogo, kwa upande wa,<br />

tuseme kama nitaongea katika police.<br />

Askari kama Katiba inaweza kutengenezwa, tusiwe tukifungwa ndani kama siku tatu. Wawe wakikuja na warrant <strong>of</strong> arrest.<br />

Kwa sababu wakikuweka huko, utaumia na pengine utapata ugonjwa huko. Sasa wawe wakikuja na maandishi ambayo<br />

41

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!