constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Mambo ya Katiba: Katiba isikuje kuwekwo kama vile wengine wamesema hapa. Isikuje kuwekwa chini ya drawer. Hata<br />
hapa vile tunakuja kupeleka hapa Katiba, hatujui Katiba ile ilikuwepo, ama ile iko kwa wakati huu. Kwa hivyo tunataka Katiba<br />
hii yetu iletwe, tuwe tunaisoma, na inafundishwa hata kwa mashule.<br />
Vyama vile vimeandikishwa, wakati wanakuja kulete views zao. Wasiwe wanapatiwe umuhimu kuliko sisi raiya. Kwa sababu<br />
hii Katiba sio ya party, ni yetu. Kwa hivyo hata kama chama iko kubwa namna gani, isikuje kupatiwa umuhimu, kuliko sisi<br />
wenyewe. Katiba ile iko kwa wakati huu. Itumiwe kikamilifu 100%, bila kutumia mambo ya kabila yangu, bila kutumia huyu<br />
mtu ni wangu, na hili hafai kufungwa, kwa sababu yeye ni mtu wangu hata kama ako na makosa.<br />
Masomo iwe free, hiyo yote imetajwa. Hata mambo ya health yote imetajwa. Mambo iwe free, yote imetajwa. Asanteni.<br />
Com. Wambua: Asante sansa Bwana Chege. Tutamuita G. N. Mburu. Hayuko? Tutamuita Bwana Gatuguta. Bwana<br />
Gatuguta ni kama aliongea jana, kwa hivyo wawili tutawatoa. Halafu tumuite Judy W. Gitau. A. Njonjo, yuko? Hayuko. J.<br />
Njonjo. Hayuko. Solomon Kamau.<br />
Solomon Kamau: Mine will be brief, I recommend that the Presidential powers should be trimmed, as the President has the<br />
tendancy <strong>of</strong> making hasty and abrupt decisions; which you can call decisions made at the spur <strong>of</strong> the moment. The President<br />
should not be a member <strong>of</strong> Parliament, but should belong to a registered political party. The administration police should be<br />
merged with the regular police, and the security docket should be de-tached from the <strong>of</strong>fice <strong>of</strong> the President. The quota system<br />
in education and administration, should be abolished and pave way for the best brains to win. On the Judiciary, the Judiciary<br />
should be freed from any manuplation from the executive, by giving them a tenure <strong>of</strong> <strong>of</strong>fice. Members <strong>of</strong> the Judiciary should<br />
be elected in Parliament through merit.<br />
On elections, the Electoral Commission should be an independent body, and should make the voter registration exercise a<br />
continous thing. The Commissioners should provide two days for elections. The first day being for Presidential elections, and<br />
the next day for MPs and their local Councils. Mine will be brief, I am through.<br />
Com. Wambua: Asante sana Solomon Kamau. Tutamuita George Kanja Gitugo. Hayuko? Johnson Mbugua. He spoke<br />
yesterday, I thougt so. Tutawapatia nafasi wengine asante sana Bwana Mbugua. Tutamuita, Kironyo Gathungu.<br />
Kironyo Gathungu: Good afternoon. I will speak in English my name is Kironyo Gathungu, I am 20 years old and I am a<br />
student. I come from Mwimuto Village, and what I have to say has actually been said by a lot <strong>of</strong> people, all I have do is to<br />
confirm; and if possible make some rectifications.<br />
First <strong>of</strong> all, I would like to speak about the system <strong>of</strong> government. I would like to see this provision being entrenched in the<br />
52