constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
fulani, ama ilikuwa na viini fulani ya kudhuru afya yetu. Huyo mtu kwa sababu ni tajiri fulani na anajulikana ni wakuu wetu wa<br />
serikali, hakuchukuliwa hatua yeyote. Kwa hivyo ikiwa sheria kama hiyo iko, yakutochukua hatua, tungetaka iondolewe mbali,<br />
tuwekewe ile sheria mtu yeyote hata akiwa ni nani, hata akiwa ni Rais wetu, ama mdogo wake, akifanya kosa fulani, tunataka<br />
tusikie yeye ako kortini kama vile nchi zile zingine zinaendela na zinajifunia ya kuwa iko na democracy; kama vile sisi tunajivunia<br />
tuko na democracy. Kwa hivyo hapa upande wa Constitution, nataka wawe waangalifu. Hiyo ingine ni ya upande wa sheria<br />
kama hiyo. Tungetaka tuwape hawa watu wetu wana sheria, hawa wameelimika, tuwape sheria fulani ya kuchukulia mtu kama<br />
huyo hatua, ikiwa kwa upande mwingine, ama serikali imekosa, awe hiyo tume ya sheria iwe ikichunguza maneno hayo.<br />
Ya pili, tukitaka hata hii tume yetu iwe ikisaidia serikali upande huo wa corruption, kwa sababu huo ni ugonjwa fulani. Ni<br />
ugonjwa mbaya sana. Unadhuru afya yetu, na unaenda kuangusha serikali yetu. Ni hayo tu nilikuwa nimetarajia kuitaja kwa<br />
wakati huu, kwa sababu mengi yame pita na siwezi kutaja. Asanteni<br />
Com. Wambua: Asanti sana Bwana Njuguna. Nitamuita Kibugi Robert.<br />
Kibugi Robert: Habari zenu nyote. Nitatumia lugha ya Kizungu ndio niweze kutaja yote nimeandika, na ndio niweze kuongea<br />
haraka.<br />
The first thing that we should address is the type <strong>of</strong> constituion we want, and why we want a Constitution in the first place; and I<br />
do suggest that we put it at the bottom line, that we want the Constitution to address the issues affecting Kenyans, and not a<br />
Constitution targeting individuals. Tusiseme ya kwamba hatutaki raisi kwa sababu raisi ni Moi, na akiwa Kibaki tutamtaka na<br />
Katiba ilioko.<br />
The other issues, that have been named, for example the number <strong>of</strong> ministries that we should have in Kenya, should be specified<br />
in the Constitution by name and in number; to prevent Ministers being appointed from various regions for political reasons.<br />
Ministers should not necessarily be members <strong>of</strong> Parliament. The number <strong>of</strong> Assistant Minister should be specified with specific<br />
functions. Holders <strong>of</strong> Constitutional or key public <strong>of</strong>fices, should be vetted by Parliament, and that should include Judges <strong>of</strong> our<br />
courts. Parliamnet should be given power to impeach the President and even in some cases ministers. There are some powers<br />
that are given to the President <strong>of</strong> Kenya, for example under sections like 24 and 25, to create and abolish public <strong>of</strong>fices. To<br />
hire and fire public <strong>of</strong>ficers, the President is given power to do that at his own will. I think that power should be abolished<br />
totally and that power left to the Public Service Commission, with approval <strong>of</strong> Parliament.<br />
Also the requirement <strong>of</strong> a 25% majority in elections for a Presidential candidate, in five out <strong>of</strong> eight provinces should be done<br />
away with, and replaced with someone garnering about 51% or more, in all provinces that is <strong>of</strong> the total votes count cast in<br />
Kenya.<br />
47