constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
tu-kawithdraw pesa hizi. Jambo ambalo lingine tungependa kuwafahamisha, ni juu ya hii misaada ambayo inatoka ngambo. I<br />
don’t know why the chiefs should be involved in this donations as if we are not in a position to get them from the main donors.<br />
So, kama ikiwezekana hawa donors ambao wanatupatia misaada, ingefaa watupe moja, kwa moja badala ya wapite kwenye<br />
machiefs, ama ka Ministry <strong>of</strong> Culture and Social Services.<br />
Lile ambalo ningetaka kugusia kidogo tena, ni kuhusu land. Ningetaka ile Constitution ambayo itaandikwa, iwe maintained 10<br />
years ambayo mtu anafaa kuwa amekalia kwenye shamba iwe maintained, lakini amendment ifanyiwe kwa wale ambao<br />
wanapewa mashamba ni sio wenye mashamba wenyewe. Yaani kama vile squatters. Kuna ambao wanapewa shamba, lakina<br />
hizo shamba hawapewi kwa njia ilio halali, na baada ya kumaliza miaka kumi hivi, unasikia eti wako legalized kupewa hiyo<br />
mashamba. Hiyo ingefaa iyondolewe kabisa. Tena kama nyumba za kukodishwa, kuna wakati mwingine tunasikia ati mutu<br />
akimaliza miaka kumi hivi, anatakiwa awe ni mwenye hiyo nyumba kamili, na hali yeye ni kuja ali kuja tu kuishi kwenye hiyo<br />
nyumba. Hiyo ingefaa iondolewe mara moja. Sina mengi ya kusema, kwa sababu yale ambayo nilikuwa nikitaka kutaja ya<br />
Presidental powers tayari yamesemwa, na ningetaka kuwashukuru kwa kunisikiza, na kunipatia hii nafasi asanteni.<br />
Com. Wambua: Asante sana. Michael Kimani? John Kinuthia? James Kariuki?<br />
James Kariuki: Majina yangu naitwa James Kariuki. Mimi nimetoka hapa Kabete. Kuna mambo machache tu ningetaka<br />
kusema, kuongeza kwa hayo, watu wamesema,<br />
Jambo la kwanza, ni ile ya President. Ningependa ile amri inasema President awe above the law, iondolewe kabisa. Kwa<br />
sababu taabu ambayo inaingia, ni vile ati President anaweza kufanya chochote, na mambo iharibike kabisa, na hakuna mtu<br />
anaweza kuuliza swahili, na hata hakuna kitu kinaweza fanyika. Kwa hivyo mimi yangu ya kwanza, we want a President who<br />
will serve the people, and who will be liable to prosecution incase <strong>of</strong> any mistake or incase <strong>of</strong> anything bad he does to the<br />
people.<br />
Ya pili ningeuliza kuwa na accountability katika pesa ya serikali. Kwa sababu we are paying a very high tax, na sana sana<br />
hatuna kile tunaona kinafanywa. Kwa sababu ukiangalia barabara, iko na pot holes, masomo, watoto hawapati masomo.<br />
Kama wewe unatoka in a poor family, hakuna masomo unapata, kwa hivyo tungesema, pesa iwe strictly followed, ndio iweze<br />
kutimiza ile mambo inafaa itimizie watu. Kwa sababu kwa kila kitu, tuna pay tax, na hiyo pesa hatuoni kile kinafanyika kwa<br />
hiyo pesa. It is going to some people’s pockets, without going to the public, to do what it is supposed to be done.<br />
Ningesema term ya President, iwe ni two terms. Iwe three years two terms, without going any further. Ile ingine ningesema,<br />
tungependa President ambae ako na afya, na yule mafikra yako iko sawa sawa. Kwa hiyo ningesema, President asiwe above<br />
70 years. He must be from 35 years to 70 years but not beyond. Ile ingine ningesema, ningeomba serikali ipatie watoto wote<br />
wa primary school from Std. 1 to Std. 8, free education. I believe the tax we are collecting. the government is able to do that<br />
69