30.01.2013 Views

constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

tu-kawithdraw pesa hizi. Jambo ambalo lingine tungependa kuwafahamisha, ni juu ya hii misaada ambayo inatoka ngambo. I<br />

don’t know why the chiefs should be involved in this donations as if we are not in a position to get them from the main donors.<br />

So, kama ikiwezekana hawa donors ambao wanatupatia misaada, ingefaa watupe moja, kwa moja badala ya wapite kwenye<br />

machiefs, ama ka Ministry <strong>of</strong> Culture and Social Services.<br />

Lile ambalo ningetaka kugusia kidogo tena, ni kuhusu land. Ningetaka ile Constitution ambayo itaandikwa, iwe maintained 10<br />

years ambayo mtu anafaa kuwa amekalia kwenye shamba iwe maintained, lakini amendment ifanyiwe kwa wale ambao<br />

wanapewa mashamba ni sio wenye mashamba wenyewe. Yaani kama vile squatters. Kuna ambao wanapewa shamba, lakina<br />

hizo shamba hawapewi kwa njia ilio halali, na baada ya kumaliza miaka kumi hivi, unasikia eti wako legalized kupewa hiyo<br />

mashamba. Hiyo ingefaa iyondolewe kabisa. Tena kama nyumba za kukodishwa, kuna wakati mwingine tunasikia ati mutu<br />

akimaliza miaka kumi hivi, anatakiwa awe ni mwenye hiyo nyumba kamili, na hali yeye ni kuja ali kuja tu kuishi kwenye hiyo<br />

nyumba. Hiyo ingefaa iondolewe mara moja. Sina mengi ya kusema, kwa sababu yale ambayo nilikuwa nikitaka kutaja ya<br />

Presidental powers tayari yamesemwa, na ningetaka kuwashukuru kwa kunisikiza, na kunipatia hii nafasi asanteni.<br />

Com. Wambua: Asante sana. Michael Kimani? John Kinuthia? James Kariuki?<br />

James Kariuki: Majina yangu naitwa James Kariuki. Mimi nimetoka hapa Kabete. Kuna mambo machache tu ningetaka<br />

kusema, kuongeza kwa hayo, watu wamesema,<br />

Jambo la kwanza, ni ile ya President. Ningependa ile amri inasema President awe above the law, iondolewe kabisa. Kwa<br />

sababu taabu ambayo inaingia, ni vile ati President anaweza kufanya chochote, na mambo iharibike kabisa, na hakuna mtu<br />

anaweza kuuliza swahili, na hata hakuna kitu kinaweza fanyika. Kwa hivyo mimi yangu ya kwanza, we want a President who<br />

will serve the people, and who will be liable to prosecution incase <strong>of</strong> any mistake or incase <strong>of</strong> anything bad he does to the<br />

people.<br />

Ya pili ningeuliza kuwa na accountability katika pesa ya serikali. Kwa sababu we are paying a very high tax, na sana sana<br />

hatuna kile tunaona kinafanywa. Kwa sababu ukiangalia barabara, iko na pot holes, masomo, watoto hawapati masomo.<br />

Kama wewe unatoka in a poor family, hakuna masomo unapata, kwa hivyo tungesema, pesa iwe strictly followed, ndio iweze<br />

kutimiza ile mambo inafaa itimizie watu. Kwa sababu kwa kila kitu, tuna pay tax, na hiyo pesa hatuoni kile kinafanyika kwa<br />

hiyo pesa. It is going to some people’s pockets, without going to the public, to do what it is supposed to be done.<br />

Ningesema term ya President, iwe ni two terms. Iwe three years two terms, without going any further. Ile ingine ningesema,<br />

tungependa President ambae ako na afya, na yule mafikra yako iko sawa sawa. Kwa hiyo ningesema, President asiwe above<br />

70 years. He must be from 35 years to 70 years but not beyond. Ile ingine ningesema, ningeomba serikali ipatie watoto wote<br />

wa primary school from Std. 1 to Std. 8, free education. I believe the tax we are collecting. the government is able to do that<br />

69

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!