constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission ckrc ... - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Com. Wambua: Bwana Numa kidogo tafadhali, nimeangalia hiyo memorandum umetupatia, and page 6 ni kama unataja<br />
unataka PC awe governor <strong>of</strong> the region, na DC unasema, no replacement, DO pahali pake pachukuliwe na local authority.<br />
Nikusema kama hutaki Provincial Administration iendelee.<br />
Gideon Ngumba: Provincial Administration, wakati Kenyatta alikuja, akapata ndio walikuwa wakitutawala na Mzungu.<br />
Akawaweka nguvu sana. Mambo ya rigging hii, mimi nimekuwa na hawa. Mambo ya kuiba kura za watu, ni Provincial<br />
Administration. Kuharibu kazi ya watu ni hawa. Hatuwataki, tunataka hata PC sio PC. Region ichaguwe watu. Wakuwe na<br />
Chairman governor. Governor awe wa kuchaguliwa. Hiyo ya mtu kwenda State House, kutengeneza sifa, unaona hapo bwana<br />
Commissioner? Tusema uhuru ni kupiga kura. Tumekupigia kura, umekuwa President, unatakiwa kuwa na watu wako wa<br />
mlango yako. Unawambia endeni kule Kiambu, mpige fulani mharibu fulani kwa hivyo ningetaka watu wote...<br />
Interjection -Com. Wambua: Tafadhali nilikuwa nataka kujua, PC ataondolewa ama atakaa? Aondolewe?<br />
Gideon Numa: Nasema sisi tuwe na governor, PC atolewe kabisa na hiyo ikuwe dismantled kabisa. D.O kuwe na local<br />
authority, kila division na chairman achaguliwe na watu.<br />
Interjection- Com. Wambua: Na chief?<br />
Gideon Numa: Aondolewe kabisa.<br />
Com. Wambua: Haya, kitu kingine page 9, Electoral Court. Umesema hapo, unataka kuwe na electoral court, divided into<br />
four courts which should consist <strong>of</strong> three judges. Swali moja na usieleze sana. Nataka kujua, hii electoral court itakuwa<br />
permanent court ama itakuwa tu inaundwa wakati kunakuwa na petition.<br />
Gideon Numa: No, ni majaji tu kuwekwa ili wawe tayari. Kwa sababu kukiwa na Constitution, kama tuseme local authority<br />
wanataka kuchukuwa shamba langu, ni lazima niende kortini ya Constitution. Ile itajua nina shida gani? Kwa hivyo, jaji<br />
atakuwa akiangalia mambo, tukikosana na local authority, ama serikali mahali gani tunaenda.<br />
Com. Wambua: Kwa hivyo itaundwa wakati kuna petiton peke yake, ama itakuwa permanent?<br />
Gideon Numa: No, wacha tu iwe permanent.<br />
Com. Wambua: Permanent. Okey asante sana. Thank you very much Bwana Numa. Tunataka kumuita Ruth Wambui<br />
Njenga.<br />
12