Read - bunge .parliament.go. tz
Read - bunge .parliament.go. tz
Read - bunge .parliament.go. tz
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Kwa kuwa sasa kiwanda hiki kilishapata mwekezaji; na kwa kuwa wafanyakazi wao<br />
wapatao 567 waliahidiwa kwamba punde kiwanda kitakapopata wawekezaji, watapata<br />
kipaumbele cha kuendelea na ajira. Je, Serikali ina mpan<strong>go</strong> gani kuhakikisha kwamba mwekezaji<br />
huyu anaendelea kuwarudisha wafanyakazi hawa katika ajira yao<br />
Mheshimiwa Spika, swali la pili, kwa kuwa wafanyakazi hao 567 bado wana madai yao<br />
mbalimbali toka mwaka 1997 na hadi leo hii hawajakamilishiwa madai yao. Serikali ina mpan<strong>go</strong><br />
gani wa kuhakikisha kwamba wafanyakazi hawa wanalipwa mafao yao sawasawa kabla<br />
mwekezaji hajaanza kazi yake ipasavyo katika kiwanda hiki<br />
NAIBU WAZIRI WA KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA: Mheshimiwa Spika, kwa kuwa sasa<br />
tumemaliza m<strong>go</strong><strong>go</strong>ro ule na kiwanda kinatakiwa kifanye kazi, habari ya wafanyakazi, matatizo<br />
waliyokuwa nayo yatashughulikiwa kwa mujibu wa sheria za ajira. Tutashirikiana na kampuni ile,<br />
tutashirikiana na Wizara ya Kazi inayohusika kuangalia haki za wafanyakazi hao ambazo<br />
zimelindwa au zilivyo na kwa hakika kwa vyovyote vile hatutawadhulumu.<br />
Mheshimiwa Spika, tutakachokifanya ni kufuata tu sheria za ajira na haki za wafanyakazi<br />
zinalindwa namna gani. Naomba awe na subira, Serikali itazishughulikia.<br />
MHE. MODESTUS D. KILUFI: Mheshimiwa Spika, nashukuru sana. Naomba kumuuliza<br />
Mheshimiwa Waziri kwamba wafanyakazi wa Mbarali NAFCO na Kampunga NAFCO, wanadai<br />
madai yao ya kulipwa fidia baada ya mashamba hayo kubinafsishwa bila mafanikio. Wamefika<br />
mpaka Mahakamani, Mahakama imeamuru walipwe, lakini mpaka sasa bado hawajalipwa. Je,<br />
Mheshimiwa Waziri atanihakikishia kwamba atasaidia kuhakikisha wananchi hawa wanapata haki<br />
zao<br />
SPIKA: Haya, swali lingine kabisa! Mheshimiwa Naibu Waziri, majibu!<br />
NAIBU WAZIRI WA KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA: Mheshimiwa Spika, nilikuwa Mbarali<br />
takriban wiki tatu zilizopita, sikuongea na wafanyakazi, lakini niliweza kupata malalamiko ya<br />
wafanyakazi walioko pale. Ninachoweza kusema tu ni kwamba, suala la wafanyakazi pale, kama<br />
bado wana matatizo ambayo hayajakamilika, nalo tutalishughulikia. Najua wana matatizo mengi<br />
zaidi ya hilo, ikiwa ni pamoja na mashamba ambayo walitaka yashughulikiwe. Kwa bahati<br />
nilimwambia hata Mheshimiwa Kilufi kwamba nilipokuwa kule nimetoa ahadi ya Serikali kwamba<br />
wananchi wote waliokuwa katika shamba lile, tumetoa ahadi, Serikali imetoa shilingi milioni 500,<br />
tuwatengenezee mashamba ya umwagiliaji pembeni, wakati matatizo mengine yanashughulikiwa<br />
na Serikali. Kwa hiyo, naomba pia Mheshimiwa Kilufi naye awe na subira. Lakini wakati wanasubiri<br />
hili tatizo lao la wafanyakazi, wafanyakazi wale followback position, kupata maeneo mengine<br />
tumelishughulikia tayari.<br />
MHE. AUGUSTINO M. MASELE aliuliza:-<br />
Na. 496<br />
Mfumo wa Stakabadhi kwa Zao la Pamba<br />
Bei ya zao la pamba nchini imekuwa haitabiriki ambapo Serikali ikitoa bei elekezi ambayo<br />
ni ya chini sana na kutoa mwanya kwa wafanyabiashara wa zao hilo kununua kwa bei ndo<strong>go</strong><br />
kisha wao kuuza kwa bei kubwa na kupata faida zaidi ya wakulima ambao hubaki maskini na<br />
hivyo kutishia uzalishaji wa zao hilo:-<br />
(a) Je, Serikali ina mpan<strong>go</strong> gani wa kuboresha mfumo wa stakabadhi ghalani ambao<br />
utawalinda wakulima wa zao la pamba wasiendelee kupunjwa na wachuuzi wanaolangua<br />
pamba<br />
(b) Je, kuna ukweli wowote kuwa Benki ya NMB ina mpan<strong>go</strong> wa kudhamini mfumo wa<br />
stakabadhi ghalani<br />
10