28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

ya Tanzania ambayo inashuka thamani kwa kasi. Kufanya biashara kwa fedha ya kigeni ni jambo<br />

hatari sana kwa uchumi wa nchi yetu.<br />

Mheshimiwa Spika, zamani Benki Kuu ilikuwa na utaratibu wa kuwa na hifadhi ya dhahabu<br />

kama njia mojawapo ya kudhibiti ubora/thamani ya shilingi yetu. Serikali ina mpan<strong>go</strong> gani wa<br />

kurejesha utaratibu huo wa kuwa na hifadhi ya dhahabu katika Benki Kuu<br />

Mheshimiwa Spika, sambamba na hilo ni ubora hafifu wa noti mpya zilizoingizwa katika<br />

soko hivi karibuni. Noti hizi zimelalamikiwa kuwa ubora hafifu kwani zinachakaa upesi na zinachuja<br />

rangi. Ubora huu hafifu umesababisha urahisi wa kughushi noti na kupelekea wingi wa noti bandia<br />

katika soko jambo ambalo ni hatari sana kwa uchumi wetu.<br />

Mheshimiwa Spika, ninaitaka Benki Kuu kuhakikisha kuwa noti zinazoingizwa katika soko<br />

zina ubora unaokidhi viwan<strong>go</strong> ikiwa ni pamoja na kudhibiti uwepo wa noti bandia katika<br />

mzunguko wa fedha.<br />

Mheshimiwa Spika, mimi ni Mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Fedha na Uchumi. Napenda<br />

kutoa masikitiko yangu kwa Kamati kutoshirikishwa katika baadhi ya mambo muhimu yanayohusu<br />

uchumi wetu.<br />

Mheshimiwa Spika, katika Bunge hili, mkutano huu unaoisha leo, Serikali ilifanya mabadiliko<br />

ya fedha/Bajeti kwa kuhamisha shilingi bilioni 95 kutoka Wizara ya Ujenzi na kuziongezea katika<br />

Bajeti ya Wizara ya Uchukuzi. Aidha, katika Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini iliyokataliwa na<br />

Bunge hili na baadaye Wizara hiyo ikaja na mpan<strong>go</strong> wa dharura wa umeme utakaoiwezesha<br />

TANESCO kukopa jumla shilingi bilioni 523 kwa udhamini wa Serikali.<br />

Mheshimiwa Spika, katika mambo haya yote Kamati ya Fedha na Uchumi haikushirikishwa<br />

ili itoe maoni yake na badala yake wanakamati waliyashuhudia mambo haya ndani ya Ukumbi<br />

wa Bunge sawa na Wa<strong>bunge</strong> wengine.<br />

Mheshimiwa Spika, naitaka Serikali itambue umuhimu wa wajibu wa Kamati ya Kudumu ya<br />

Bunge ya Fedha na Uchumi katika masuala muhimu ya uchumi wa nchi yetu.<br />

Mheshimiwa Spika, baada ya kusema hayo, naomba kuwasilisha.<br />

MHE. ASSUMPTER N. MSHAMA: Mheshimiwa Spika, napenda kushukuru Mheshimiwa Waziri<br />

kwa mipan<strong>go</strong> mizuri ya uchumi, hakika ikifanyiwa kazi Taifa letu litabadilika japo kwa kido<strong>go</strong>.<br />

Mheshimiwa Spika, kwa kuwa VICOBA imeonyesha uwezo mkubwa kusaidia wananchi<br />

hasa wa hali ya chini hasa vijijini ambayo SACCOS haina uwezo kama ilivyoonyesha VICOBA kwa<br />

namna zote, kwa kurejesha na hata kwa elimu ya ujasiriamali na kuleta umoja wa namna ya<br />

pekee. Je, Serikali haioni kuwa ni wakati muafaka kutoa kipaumbele kwa VICOBA na kutoa sera<br />

rasmi ili VICOBA vikopesheke na Benki kama inavyofanya katika SACCOS Hakika nashauri ifanyike<br />

haraka kuingiza VICOBA ili tuwafikie wananchi wengi na kuijenga Serikali yetu.<br />

Mheshimiwa Spika, nawasilisha.<br />

MHE. GAUDENCE C. KAYOMBO: Mheshimiwa Spika, hongera nyingi kwa Wizara ya Fedha<br />

na Uchumi kwa kazi nzuri wanayoifanya. Uchumi wetu unakuwa vyema na zipo dalili nyingi nzuri<br />

na upo mwanga mbele ya safari yetu.<br />

Mheshimiwa Spika, mchan<strong>go</strong> wangu ni katika maeneo yafuatayo:-<br />

Kwanza ni kuhusu kodi, tax base yetu ni ndo<strong>go</strong>. Wananchi wachache sana wanashiriki<br />

kulipa kodi. Wananchi wengi wakiwamo wafanyabiashara wanadhani kodi ni adui na si jukumu<br />

lao kulipa. La kufanya ni kuangalia njia zote za kupanua wi<strong>go</strong> wa kodi lakini kutoa elimu ya ulipaji<br />

kodi na umuhimu/faida ya kodi. Usimamizi mzuri wa fedha zinazoelekezwa Halmashauri ili kujenga<br />

34

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!