28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mheshimiwa Spika, nizungumzie tu kido<strong>go</strong> kuhusu unafuu wa kodi ya VAT. Ukiangalia sheria<br />

ya kodi ya VAT jedwali Namba 3 utaona kwamba tunakuwa tukipunguza sana wi<strong>go</strong> wa kodi<br />

badala ya kuongeza uwi<strong>go</strong> wa kodi.<br />

Hii inajionyesha tangu mwaka 1998 sheria hiyo ilipoanza kutumika ni makundi matano tu<br />

yalikuwa yamepata msamaha wa kodi. Lakini hadi sasa tuna makundi zaidi ya 32 ambayo<br />

yanapata msamaha wa kodi.<br />

Mheshimiwa Spika, mimi nadhani tulitazame upya hili pengine tuirudishe Sheria hii ya VAT,<br />

tuangalie len<strong>go</strong> lile ambalo lilitupelekea kuanzisha Sheria ya VAT, tuangalie je len<strong>go</strong> hili<br />

linatekelezwa na huko tunakokwenda ni wapi (Makofi)<br />

Mheshimiwa Spika, kibaya zaidi utakuta kwamba hata wale watumishi wa Taasisi za<br />

Serikali ambao pengine wameingia katika mfumo wa VAT, wanakuwa hawaelewi maana ya VAT.<br />

Juzi tu mimi nimemaliza kulipia kiwanja kule Itega, pale CDA baadaye Afisa mmoja<br />

ananipigia simu kwamba natakiwa nilipe VAT, lakini kumbe VAT ile nilikuwa nimeshalipia kwenye<br />

gharama za awali za kiwanja ndiyo baadaye nilipochukua hatua ya kumwelewesha vizuri na yeye<br />

mwenyewe akakubali. Kwa hiyo utakuja kuona kwamba ni wengi tu ambao hawalielewi hili na<br />

pengine Serikali irudi sasa tena iangalie kama kweli hakuna wananchi waliolipishwa VAT mara<br />

mbili.<br />

Mheshimiwa Spika, pamoja na mengi ambayo niliyonayo, lakini kuna jambo lingine moja<br />

ambalo linanikera sana na hili ni kuhusiana na huu kuchafuliwachafuliwa kwa Wa<strong>bunge</strong>. Sasa<br />

kumetokea tena min<strong>go</strong>n<strong>go</strong>no mingine ambayo imekuwa ikisambaa sambaa sambaa kuhusiana<br />

na hii CHC. Kuna baadhi ya Wa<strong>bunge</strong> ambao wamepewa pesa nyingi ili kusudi waweze<br />

kuisemea CHC, lakini ninachoshangaa ni kwa kwamba kwa nini Serikali imekaa kimya kwa nini<br />

haikanushi Kwa nini, haitoi ufafanuzi. (Makofi)<br />

Mheshimiwa Spika, nilikuwa naomba nichukue nafasi hii kumwomba Mheshimiwa Waziri<br />

atakapokuwa akihitimisha hoja yake atupe ufafanuzi kuhusiana na hii minong`ono ambayo<br />

inatembea, nadhani si mimi pekee yangu ambayo nimeisikia, ni wengi ambao wameisikia na huku<br />

ni kulidhalilisha Bunge, ninaomba sana sana tupate ufafanuzi ili kusudi wananchi waweze kujua<br />

ukweli ni upi.(Makofi)<br />

Mheshimiwa Spika, kabla sijamalizia nilikuwa naomba nichukue nafasi hii na mimi kujiunga<br />

na wenzangu kuzipongeza Taasisi za fedha ambazo ziko chini ya Wizara ya Fedha kwa kazi<br />

ambayo wanayofanya kwa kuanzia na PPF ambao wanawasaidia watoto yatima, lakini pia<br />

waliweza kutuletea madawati kwa baadhi ya shule za Kata kule Mtwara. Nawapongeza sana<br />

naomba muendelee na moyo huo, NMB nao walishawahi kutoa misaada kwa watoto walio katika<br />

mazingira hatarishi, Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Mtawanya, CRDB nao pia wamejitahidi<br />

sana kusaidia vikundi mbalimbali vya ujasiliamali.<br />

Naomba wasiichie hapo tu, wa akina mama wa Mkoa wa Mtwara wanajitahidi sana<br />

kufanya shughuli za kujiajiri, shughuli nyingi tu ikiwa ni pamoja na kilimo cha uyoga, utengenezaji<br />

sabuni na batiki na mambo mengine mengi kama usindikaji wa vyakula na wanataka sana<br />

waboreshe hizi bidhaa zao, waziboreshe waweze kupata cheti cha TBS ili kusudi wakuze biashara<br />

hizi na kujipatia kipato zaidi. Pengine waweze kuingiza katika mfumo wa kodi. Sasa naomba<br />

vyombo hivi vya fedha viwakumbuke akina mama hawa kuwapa mikopo ili waboreshe biashara<br />

zao ziende katika viwan<strong>go</strong>.<br />

Mheshimiwa Spika, baada ya kusema hayo, niwatakie kila la heri, kila mmoja wetu alie<br />

humu ndani ikiwa ni pamoja na wewe mwenyewe, Wenyeviti na Mheshimiwa Waziri Mkuu katika<br />

shughuli zenu kuanzia sasa, ahsante sana, naunga mkono hoja. (Makofi)<br />

MHE. DKT. CHARLES J. TIZEBA: Mheshimiwa Spika, naomba nikushukuru sana kwa kunipa<br />

nafasi na mimi kuchangia katika hoja hii ya Wizara ya Fedha. Kwanza kabisa naomba nitumie<br />

nafasi hii kuwashukuru tena wananchi wa Jimbo la Buchosa kwa kuendelea kunipa ushirikiano<br />

22

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!