Read - bunge .parliament.go. tz
Read - bunge .parliament.go. tz
Read - bunge .parliament.go. tz
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
ya Bariadi, Bunda, Musoma, Maswa, wanunuzi sasa wananunua kwa bei kati ya shilingi 1,000 kwa<br />
kilo mpaka 1,100/= kwa kilo.<br />
SPIKA: Swali la nyongeza lingine! Mheshimiwa Suleiman Nchambi! Nampongeza kwa<br />
kupata watoto mapacha, wa kiume na wa kike. (Makofi/Kicheko)<br />
MHE. SELEIMAN M.N. SULEIMAN: Mheshimiwa Spika, nashukuru sana. Kwa kuwa awali,<br />
wakulima wa pamba waliuza pamba yao kwa kati ya bei ya shilingi 1,100 iliyopangwa na Bodi ya<br />
Pamba na baadaye wengine wakauza kwa 800 na sasa 1,100; Je, Serikali iko tayari kufidia<br />
wakulima waliouza pamba ile kwa shilingi 800 ili wao wanufaike kama waliouza kwa shilingi 1,100<br />
WAZIRI WA KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA: Mheshimiwa Spika, swali hili lina maeneo<br />
mawili, wapo wakulima ambao wadau walipopanga bei ya shilingi 1,100 kwa kilo, walikopesha<br />
pamba yao kwa wanunuzi kwa makubaliano kwamba watalipwa shilingi 1,100. Serikali itasimamia<br />
walipwe haki yao ya makubaliano ya shilingi 1,100 kwa kilo. Aidha, baada ya bei ya soko kushuka,<br />
wako wakulima ambao waliuza pamba yao katika bei ambayo ilikuwa sokoni ambayo ni chini ya<br />
shilingi 1,100 na hiyo ni bei ya soko ambayo Serikali haiwezi kuwafidia wakulima hao.<br />
MHE. ALBERT O. NTABALIBA aliuliza:-<br />
Na. 497<br />
Barabara za Jimbo la Manyovu<br />
Barabara ya Lami ya kilomita nne inatoka Mnanila kuelekea Burundi na kuacha eneo<br />
lingine kutounganishwa:-<br />
(a) Je, Serikali ina mpan<strong>go</strong> gani wa kuunganisha barabara ya kiwan<strong>go</strong> cha lami<br />
kutoka Mnanila kupitia Buhigwe mpaka Kasulu Mjini<br />
(b) Je, Serikali ina mpan<strong>go</strong> gani wa kuipandisha hadhi barabara ya Heru Juu –<br />
Muyama (Tarafa) ili ihudumiwe na Serikali Kuu<br />
NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu:-<br />
Mheshimiwa Spika, napenda kujibu swali la Mheshimiwa Albert O. Ntibaliba, M<strong>bunge</strong> wa<br />
Manyovu lenye sehemu (a) na (b) kama ifuatavyo:-<br />
(a) Mheshimiwa Spika, Serikali inatambua umuhimu wa barabara ya Mnanila<br />
(Manyovu) kupitia Buhigwe hadi Kasulu Mjini, lakini kutokana na ufinyu wa bajeti, haiwezi kuanza<br />
ujenzi wa barabara hii kwa kiwan<strong>go</strong> cha lami. Aidha, Serikali kupitia Wakala wa Barabara<br />
itaendelea kuifanyia matengenezo kwa kiwan<strong>go</strong> cha changarawe ili iweze kupitika wakati wote.<br />
(b) Mheshimiwa Spika, Sheria ya Barabara Na.13 ya mwaka 2007 na Kanuni zake za<br />
mwaka 2009 imeweka utaratibu wa kuziweka kwenye madaraja stahili barabara zote nchini.<br />
Namshauri Mheshimiwa M<strong>bunge</strong> afuate utaratibu uliopo kwenye sheria ikiwa ni pamoja na<br />
kupitisha maombi kwenye Bodi ya Barabara ya Mkoa (Regional Roads Board).<br />
MHE. ALBERT O. NTIBALIBA: Mheshimiwa Spika, kwanza namshukuru Naibu Waziri kwa<br />
majibu mazuri kabisa. Lakini, kwanza nitumie nafasi hii kuipongeza Wizara ya Ujenzi na Serikali<br />
nzima kwa kujenga barabara kwa kiwan<strong>go</strong> cha lami kutoka Manyovu kwenda Mwandiga. Lakini,<br />
vile vile nimpongeze kwa kutambua umuhimu wa barabara hii ya kutoka Mnanila kupitia Wilaya<br />
mpya ya Buhigwe mpaka Kasulu ambayo sasa barabara hii umuhimu wake unaunganisha<br />
barabara inayotokea Burundi kupitia Kasulu, Nyakanazi kwenda mpaka Rwanda, Kenya kwenda<br />
Mwanza. Kwa hiyo, sasa hivi biashara pale imekwishakuwa kubwa na kwa kuwa Wizara<br />
imetambua huo umuhimu na imesema kwamba fedha ni kido<strong>go</strong>, naiomba Serikali kwa umuhimu<br />
huo, itafanyaje na kwa uharaka upi ili fedha ziweze kupatikana ili barabara hiyo iweze kujengwa<br />
12