28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

ya Bariadi, Bunda, Musoma, Maswa, wanunuzi sasa wananunua kwa bei kati ya shilingi 1,000 kwa<br />

kilo mpaka 1,100/= kwa kilo.<br />

SPIKA: Swali la nyongeza lingine! Mheshimiwa Suleiman Nchambi! Nampongeza kwa<br />

kupata watoto mapacha, wa kiume na wa kike. (Makofi/Kicheko)<br />

MHE. SELEIMAN M.N. SULEIMAN: Mheshimiwa Spika, nashukuru sana. Kwa kuwa awali,<br />

wakulima wa pamba waliuza pamba yao kwa kati ya bei ya shilingi 1,100 iliyopangwa na Bodi ya<br />

Pamba na baadaye wengine wakauza kwa 800 na sasa 1,100; Je, Serikali iko tayari kufidia<br />

wakulima waliouza pamba ile kwa shilingi 800 ili wao wanufaike kama waliouza kwa shilingi 1,100<br />

WAZIRI WA KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA: Mheshimiwa Spika, swali hili lina maeneo<br />

mawili, wapo wakulima ambao wadau walipopanga bei ya shilingi 1,100 kwa kilo, walikopesha<br />

pamba yao kwa wanunuzi kwa makubaliano kwamba watalipwa shilingi 1,100. Serikali itasimamia<br />

walipwe haki yao ya makubaliano ya shilingi 1,100 kwa kilo. Aidha, baada ya bei ya soko kushuka,<br />

wako wakulima ambao waliuza pamba yao katika bei ambayo ilikuwa sokoni ambayo ni chini ya<br />

shilingi 1,100 na hiyo ni bei ya soko ambayo Serikali haiwezi kuwafidia wakulima hao.<br />

MHE. ALBERT O. NTABALIBA aliuliza:-<br />

Na. 497<br />

Barabara za Jimbo la Manyovu<br />

Barabara ya Lami ya kilomita nne inatoka Mnanila kuelekea Burundi na kuacha eneo<br />

lingine kutounganishwa:-<br />

(a) Je, Serikali ina mpan<strong>go</strong> gani wa kuunganisha barabara ya kiwan<strong>go</strong> cha lami<br />

kutoka Mnanila kupitia Buhigwe mpaka Kasulu Mjini<br />

(b) Je, Serikali ina mpan<strong>go</strong> gani wa kuipandisha hadhi barabara ya Heru Juu –<br />

Muyama (Tarafa) ili ihudumiwe na Serikali Kuu<br />

NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu:-<br />

Mheshimiwa Spika, napenda kujibu swali la Mheshimiwa Albert O. Ntibaliba, M<strong>bunge</strong> wa<br />

Manyovu lenye sehemu (a) na (b) kama ifuatavyo:-<br />

(a) Mheshimiwa Spika, Serikali inatambua umuhimu wa barabara ya Mnanila<br />

(Manyovu) kupitia Buhigwe hadi Kasulu Mjini, lakini kutokana na ufinyu wa bajeti, haiwezi kuanza<br />

ujenzi wa barabara hii kwa kiwan<strong>go</strong> cha lami. Aidha, Serikali kupitia Wakala wa Barabara<br />

itaendelea kuifanyia matengenezo kwa kiwan<strong>go</strong> cha changarawe ili iweze kupitika wakati wote.<br />

(b) Mheshimiwa Spika, Sheria ya Barabara Na.13 ya mwaka 2007 na Kanuni zake za<br />

mwaka 2009 imeweka utaratibu wa kuziweka kwenye madaraja stahili barabara zote nchini.<br />

Namshauri Mheshimiwa M<strong>bunge</strong> afuate utaratibu uliopo kwenye sheria ikiwa ni pamoja na<br />

kupitisha maombi kwenye Bodi ya Barabara ya Mkoa (Regional Roads Board).<br />

MHE. ALBERT O. NTIBALIBA: Mheshimiwa Spika, kwanza namshukuru Naibu Waziri kwa<br />

majibu mazuri kabisa. Lakini, kwanza nitumie nafasi hii kuipongeza Wizara ya Ujenzi na Serikali<br />

nzima kwa kujenga barabara kwa kiwan<strong>go</strong> cha lami kutoka Manyovu kwenda Mwandiga. Lakini,<br />

vile vile nimpongeze kwa kutambua umuhimu wa barabara hii ya kutoka Mnanila kupitia Wilaya<br />

mpya ya Buhigwe mpaka Kasulu ambayo sasa barabara hii umuhimu wake unaunganisha<br />

barabara inayotokea Burundi kupitia Kasulu, Nyakanazi kwenda mpaka Rwanda, Kenya kwenda<br />

Mwanza. Kwa hiyo, sasa hivi biashara pale imekwishakuwa kubwa na kwa kuwa Wizara<br />

imetambua huo umuhimu na imesema kwamba fedha ni kido<strong>go</strong>, naiomba Serikali kwa umuhimu<br />

huo, itafanyaje na kwa uharaka upi ili fedha ziweze kupatikana ili barabara hiyo iweze kujengwa<br />

12

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!