28.01.2015 Views

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

Read - bunge .parliament.go. tz

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mheshimiwa Spika, kuna fedha ambayo huwa inarudishwa kutoka Halmashauri zetu<br />

ambazo zinatokana watumishi kuacha kazi, watumishi kustaafu na mtumishi kufa. Je, fedha hii<br />

inaingizwa kwenye Bajeti ipi Na inatumikaje<br />

Mheshimiwa Spika, kwa kuwa watumishi wengi sana waliostaafu bado hawajapata haki<br />

zao au kucheleweshewa malipo yao je, Wizara imejipanga vipi kuondokana na tatizo hili<br />

Mheshimiwa Spika, fedha za wafadhili huchelewa kufika katika sekta husika ili kukamilisha<br />

miradi iliyopangwa na kusababisha miradi kutokamilika kwa muda uliopangwa. Je, Wizara<br />

inasemaje kuhusu hilo Je, upo mkakati wa kuhakikisha fedha ya wafadhili inawasilishwa kwa<br />

muda uliopangwa kwa mpan<strong>go</strong> kazi wa mradi husika<br />

Mheshimiwa Spika, kwa kuwa nategemea Wizara itafanya jitihada za kuhakikisha uchumi<br />

wa nchi yetu unakua na kuimarisha mikakati ya ukusanyaji wa mapato ambayo yatasababisha<br />

kukidhi matumizi ya nchi yetu.<br />

Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.<br />

MHE. LETICIA M. NYERERE: Mheshimiwa Spika, napenda kuchangia kuhusu suala la kushuka<br />

kwa fedha ya Tanzania.<br />

Mheshimiwa Spika, Serikali inatumia mikakati gani kufanya utafiti wa kina na hatimaye<br />

kubaini tatizo linalosababisha kushuka kwa thamani ya pesa yetu<br />

Mheshimiwa Spika, naomba kupata maelezo kutoka kwa Mheshimiwa Waziri ni sheria gani<br />

ya nchi inayoruhusu matumizi ya fedha za nje hasa dola za Kimarekani katika utoaji huduma na<br />

vilevile katika malipo ya kodi ya nyumba.<br />

Mheshimiwa Spika, je, Mheshimiwa Waziri haoni kwamba kushindwa kudhibiti matumizi<br />

holela ya dola za Kimarekani ndiko kulikopelekea kushusha thamani ya pesa yetu<br />

Mheshimiwa Spika, namuomba Mheshimiwa Waziri atoe maelezo ni lini sasa shilingi ya<br />

Tanzania itawekewa kinga na Serikali ili transaction zote nchini zifanywe kwa kutumia legal<br />

currency ambayo ni shilingi<br />

Mheshimiwa Spika, ni jambo la kushangaza kuona Serikali inaruhusu matumizi ya pesa za<br />

nchi za nje.<br />

Mheshimiwa Spika, naomba Serikali isimamie fedha yetu kikamilifu, kwani jambo hili<br />

halifanyiki kwa wenzetu wa nchi zilizoendelea ili kulinda nguvu ya pesa zao yaani official currency<br />

ya nchi husika.<br />

MHE. ALLY K. MOHAMED: Mheshimiwa Spika, Kiten<strong>go</strong> cha Ushuru cha TRA ni sawa na<br />

mpiga ramli wa kienyeji cha kushangaza mimi binafsi niliagiza gari langu moja na la pili la<br />

Mheshimiwa Mipata.<br />

Mheshimiwa Spika, magari mapya nilinunua toka Oman, Muscat cha ajabu kiten<strong>go</strong> cha<br />

TRA hawakuwa tayari kukubali risiti wala maelezo yangu hata baada ya kuwaeleza kuwa kama<br />

mimi nimedanganya hata senti moja nipo tayari kusalimisha hayo magari na kuwajulisha kuwa<br />

Muscat, Oman kuna Balozi wa Tanzania wamtume aende akaulize kwenye hiyo kampuni<br />

walikataa, pia niliwaeleza nipo tayari hata kutoa nauli kwa mfanyakazi yeyote wa TRA na kama<br />

akikuta nimedanganya nipo tayari hayo magari wataifishe maana ni mapya kabisa Model 2011<br />

na yapo Show Room yanauzwa kwa mtu yeyote. Cha ajabu makadirio ya kwanza eti walikisia gari<br />

langu eti shilingi bilioni moja na la Mheshimiwa Mipata shilingi milioni 500.<br />

Mheshimiwa Spika, je, hiyo gari gani Huo si upigaji wa ramli au kutafuta rushwa tu<br />

Mwisho wa yote hata hivyo baada ya kulalamika sana haikusaidia kitu wameniibia<br />

kimachomacho labda sikutoa rushwa, gari langu wamezidisha zaidi ya shilingi 12,000,000/= gari la<br />

Mheshimiwa Mipata wamezidisha shilingi 8,000,000/= hiyo ni halali wakati nimetoa ushahidi wote<br />

36

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!